Kizzy Wizzy
JF-Expert Member
- Aug 2, 2013
- 3,280
- 3,776
Habari, natafuta soko au mteja wa mchele kutokea mbeya, akipatikana atakaeweza kuununua wote itakuwa vizuri.
Mawasilisno: 0769977222
Mawasilisno: 0769977222
Nadhani mwandishi amefanya makosa pasipo kutambua.Duh aisee kitambo sana sijafanya shopping sokoni kumbe bei ya super imechangamka hvo siku hz
Iwapo tangazo hili ningeandika mimi, basi lingesomeka hivi:Habari, natafuta soko au mteja wa mchele kutokea mbeya, akipatikana atakaeweza kuununua wote itakuwa vizuri.
Mawasilisno: 0769977222
Mimi siwezi kununua Michele kwa sh 6000
Vitu vingine ni kuvitukuza tu.
Hii ni sawa kununua pizza (ngano 1/8 kg, nyama 1/8kg ) kwa sh.elfu 50.
Kuna mchele mzuri kama wengine wanapika kawaida ,kuna wengin wanatumia kweny shughuli maalum..kuna Basmat kaulizie bei yake kwanza.Mimi siwezi kununua Michele kwa sh 6000
Vitu vingine ni kuvitukuza tu.
Hii ni sawa kununua pizza (ngano 1/8 kg, nyama 1/8kg ) kwa sh.elfu 50.
Mleta mada anamaanisha ana kilo elfu sita na zaidi,siyo kwamba anauza mchele bei elfu sita kwa kilo,hapana.Mimi siwezi kununua Michele kwa sh 6000
Vitu vingine ni kuvitukuza tu.
Hii ni sawa kununua pizza (ngano 1/8 kg, nyama 1/8kg ) kwa sh.elfu 50.
Na watu wananunuaMimi siwezi kununua Michele kwa sh 6000
Vitu vingine ni kuvitukuza tu.
Hii ni sawa kununua pizza (ngano 1/8 kg, nyama 1/8kg ) kwa sh.elfu 50.
Soma tangazo vizuri. Hiyo 6000+ sio bei ya kilo bali ana kiasi cha zaidi ya kilo 6000 (tani 6) anaziuza. Umeelewa?Mimi siwezi kununua Michele kwa sh 6000
Vitu vingine ni kuvitukuza tu.
Hii ni sawa kununua pizza (ngano 1/8 kg, nyama 1/8kg ) kwa sh.elfu 50.
hii bei ya pilau au mchele mama macho yamenitoka pima hapaHabari, natafuta soko au mteja wa mchele kutokea mbeya, akipatikana atakaeweza kuununua wote itakuwa vizuri.
Mawasilisno: 0769977222