OFISI YA MOVIE inauzwa ni Computer
Desktop Core i5 (4th Gen)
Brand HP
STORAGE 20TB
RAM 12GB
MONITOR 17INCH (DELL)
KEYBOARD
MOUSE
ina Movie zote za kutafsiriwa hii ilikua ni ofisi ya kumpa mtu...
Wana Jamii,
Tunauza vyomba vya nyumbani Bei za jumla na rejareja. Kwa yeyote anayetaka kuanzisha biashara Kwa Bei nafuu awasiliane nasi namba 0719-756640.
Bei zetu;
50pcs : 175,000/-
100pcs...
Karibuni GETRICH BUSINESS CONSULTANTS wataalamu wa kuandika na kushauri juu ya uandishi bora wa PROPOSAL, COMPANY PROFILE, BUSINESS PLAN na kadharika.
ofisi zetu zipo buguruni Rozana (Kwenye...
Habari
Nahitaji mtu kwenye biashara ya visiga mgahawa ambae anaweza kupika vyakula na bites
Pilau, biryan, vitafunwa sambusa, chapati inshort kma vyakula vya Pwani urojo na kadhalika if you are...
Nyumba ipo morogoro kihonda
Km 1 na nusu kutoka dodoma road.
Nauli kutoka morogoro mjini 500
Ina vyumba vitano,kimoja master.
Ukubwa kiwanja mita 25 kwa 20.
Milioni 35.
Mazungumzo yapo
Jipatie mayonnaise nzuri.
Q MAYONNAISE ni nzuri, bora na ya kizalendo na kwa bei rahisi sana, jumla na rejareja, tunakufikishia popote hapa DSM, tunatuma kwa waliopo mikoani.
Inapatikana kwa...
Salama wakuu?
Nauza kiwanja Mtwara Mjini bei 6Milioni.
-Kipo magomeni, 1 km kutoka stendi kuu ya mabasi Mtwara.
-kuna banda watu wanakaa
-kipo jirani na chuo cha afya COTC
-Kimepimwa sqm 317...
Habari wadau, mimi ni mkulima kutoka Mtwara Mkoani nina muhogo hekari tatu na upo tayari kuliwa nina tafuta soko la kuchimba mzigo wote kwa mkupuo. [emoji1488] # 0693 391 566
Bei ni elfu 25 tu kwa koti moja,mawili ni elfu 45.
Tunapatikana Makumbusho, Tunafanya delivery kokote ulipo.
Material ya kitambaa ni tetron laini inayong'aa, rahisi kufua na kupiga pasi...
Habari
Nauza Asali mbichi ya nyuki wakubwa kwa jumla na rejareja,
Asali hii sio ile ya kupika jamani niwaahidi hilo
Asali ina faida nyingi sana kwenye mwili wa binaadam kwa uchache tu
*Huondoa...
Tarehe ya leo itabaki kwenye kumbukumbu zangu kuwa tarehe ya mwisho kuwepo kazini. Aisee, baada ya kuchoka na uvivu uliokithiri leo natangaza rasmi kuacha kazi wakuu.
Kwasasa nitakuwa napatikana...
CAM STORE - MITUPIO- MABARO YA MTUMBA
Tunapenda kuwataarifu wateja wetu kwamba tumeanza rasmi biashara za nguo na viatu vya mitumba jumla na rejareja, tunatuma mikoani
Mawasiliano
0762212623...
MWALIMU CHRISTOPHER & DIANA MWAKASEGE - HUDUMA YA MANA - SEMINA, MOSHI, KILIMANJARO TAREHE 16 MPAKA TAREHE 20 FEBRUARI 2022.
Bwana Yesu Asifiwe!
HUDUMA YA MANA - MANA MINISTRY - Mwalimu...
Nahtaji mashina ya ps4 used, ikiwa mpya pia tutazungumza kama bei itakua rafiki kwangu.
Kwa aliyenayo nje ya Mwanza, nalipa baada ya kupokea machine pia isiwe na changamoto yoyote kuanzia pad...
Habari wadau.
Appartment ya vyumba viwili vya kulala. Sebule jiko na choo inapangishwa maeneo ya tabata kisukulu. Ni 3km ukitokea Mandela Road EPZA ama TFDA office ubungo external.
1. Nyumba...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.