Harta Investments
Member
- Mar 10, 2022
- 10
- 6
Viwanja vizuri kwa makazi vinauzwa block 19, Kibada wilaya Kigamboni. Viwanja hivi vina sifa zifuatazo:
1. Vipo katika eneo zuri kwa makazi vikizungukwa na makazi yaliyopangiliwa na yenye kuvutia kama inavyoonekana kwenye picha.
2. Panafikika muda wote wa mwaka kwa barabara tofauti na maeneo mengi ya Kibada hapatuamishi maji.
3. Viwanja vimepimwa na vina hati.
4. Umbali wa km 12 toka daraja la Kigamboni na km 14 toka ferry.
5. Huduma zote za kijamii zinapatikana.
6. Viwanja vyote vimepimwa kuanzia 1000sqm kwakuzingatia mpango mji wa makazi bora.
1. Vipo katika eneo zuri kwa makazi vikizungukwa na makazi yaliyopangiliwa na yenye kuvutia kama inavyoonekana kwenye picha.
2. Panafikika muda wote wa mwaka kwa barabara tofauti na maeneo mengi ya Kibada hapatuamishi maji.
3. Viwanja vimepimwa na vina hati.
4. Umbali wa km 12 toka daraja la Kigamboni na km 14 toka ferry.
5. Huduma zote za kijamii zinapatikana.
6. Viwanja vyote vimepimwa kuanzia 1000sqm kwakuzingatia mpango mji wa makazi bora.
- Bei ni 45,000 kwa square meter moja na inaruhusiwa kulipa taratibu ndani ya miezi mitatu(Gharama hii inajumlisha gharama za kodi,mwanasheria,dalali kama yupo,kubadilisha umiliki kwenye hati n.k.)
- Kwa mawasiliano zaidi piga/whatsapp/text 0718945887 au 0620683141.
Karibuni