Jiko linalookoa mkaa kwa 80%

Nov 6, 2016
53
146
Kwanini utumie jiko hili la mkaa kidogo

1. Jiko la kupendeza kwenye nyumba yako limeundwa katika umbo la kupendeza na malighafi zilizounda jiko ni za mithiri ya silva hivyo linakupa unadhifu.

2. Linatumia mkaa kidogo mno, linapunguza matumizi ya mkaa kwa zaidi ya asilimia 80.

3. Halipati joto kwa nje, lina material ambayo inakushanya joto katika eneo ambalo sufuria itakaa tu, hivyo haliongezi joto magetoni.

4. Sababu ni nyingi sana ila sababu kubwa zaidi ni kwamba jiko linauzwa na rafiki yako Comrade Ally Maftah, bei ni poa sana na popote utatumiwa baada tu ya kulipia.

Mawasiliano

0762212623

0785670227

0768366911

info@camstore.co.tz
camstoretz@gmail.com
allymaftah@camstore.co.tz
allyrmaftah@gmail.com

NB: Ukituma email CC email addresses zote.

IMG-20240129-WA0104.jpg
IMG-20240119-WA0010.jpg
 
KWANINI UTUMIE JIKO HILI LA MKAA KIDOGO

1. JIKO LA KUPENDEZA KWENYE NYUMBA YAKO LIMEUNDWA KATIKA UMBO LA KUPENDEZA NA MALIGHAFI ZILIZOUNDA JIKO NI ZA MITHIRI YA SILVA HIVYO LINAKUPA UNADHIFU

2. LINATUMIA MKAA KIDOGO MNO, LINAPUNGUZA MATUMIZI YA MKAA KWA ZAIDI YA ASILIMIA 80.

3. HALIPATI JOTO KWA NJE, LINA MATERIOUS AMBAYO INAKUSHANYA JOTO KATIKA ENEO AMBALO SUFURIA ITAKAA TU, HIVYO HALIONGEZI JOTO MAGETONI.

4. SABABU NI NYINGI SANA ILA SABABU KUBWA ZAIDI NI KWAMBA JIKO LINAUZWA NA RAFIKI YAKO Comrade Ally Maftah, BEI NI POA SANA NA POPOTE UTATUMIWA BAADA TU YA KULIPIA.

MAWASILIANO

0762212623
0785670227
0768366911

info@camstore.co.tz
camstoretz@gmail.com
allymaftah@camstore.co.tz
allyrmaftah@gmail.com

www.camstore.co.tz.

UKITUMA EMALI CC IMAIL ADDRES ZOTE.

KARIBUNI INBOX KUJUA BEI
View attachment 2898947i
Nyinyi makada wa ccm kila kitu mnataka kuleta siasa. Sasa hiyo bei poa ndiyo shilingi ngapi?
 
KWANINI UTUMIE JIKO HILI LA MKAA KIDOGO

1. JIKO LA KUPENDEZA KWENYE NYUMBA YAKO LIMEUNDWA KATIKA UMBO LA KUPENDEZA NA MALIGHAFI ZILIZOUNDA JIKO NI ZA MITHIRI YA SILVA HIVYO LINAKUPA UNADHIFU

2. LINATUMIA MKAA KIDOGO MNO, LINAPUNGUZA MATUMIZI YA MKAA KWA ZAIDI YA ASILIMIA 80.

3. HALIPATI JOTO KWA NJE, LINA MATERIOUS AMBAYO INAKUSHANYA JOTO KATIKA ENEO AMBALO SUFURIA ITAKAA TU, HIVYO HALIONGEZI JOTO MAGETONI.

4. SABABU NI NYINGI SANA ILA SABABU KUBWA ZAIDI NI KWAMBA JIKO LINAUZWA NA RAFIKI YAKO Comrade Ally Maftah, BEI NI POA SANA NA POPOTE UTATUMIWA BAADA TU YA KULIPIA.
Tusisahau kuhamasisha upandaji wa miti kukabiliana na uharibifu wa mazingira ambao hivi sasa unashika kasi.

Tufanye kama Breweries na Sigara pamoja na ku promote pombe na sigara lakini wanatoa hamasa nyingine pembeni yake
 
Back
Top Bottom