Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.

On JF:

Sasa udongo wetu unapatikana Zanzibar (Unguja). Huu udongo ni 100% wa asili, haujaongezwa chochote na moja ya matumizi ni kama liwa lakini una ubora zaidi ya liwa. Kwa maelezo zaidi usome hapa...
0 Reactions
8 Replies
2K Views
Sasa udongo wetu Aunt Zainab's Natural Super Clay unapatikana Mtwara. Huu udongo ni 100% wa asili, haujaongezwa chochote na moja ya matumizi ni kama liwa lakini una ubora zaidi ya liwa. Kwa...
0 Reactions
9 Replies
2K Views
MAKE TOYOTA MODEL VOLTS PRICE MIL 15 Contact whatsapp +255764361843
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Sasa udongo wetu Aunt Zainab's Natural Super Clay unapatikana Morogoro. Huu udongo ni 100% wa asili, haujaongezwa chochote na moja ya matumizi ni kama liwa lakini una ubora zaidi ya liwa. Kwa...
0 Reactions
10 Replies
2K Views
Wadau naomba mwenye uzoefu na hili anijulishe, Ni kwamba nahitaji kuagiza Toyota Ist ya mwaka 2004 kutoka Japan, Naomba kujua mwenye uelewa, itanighalimu shilingi ngapi mpaka nianze kuiendesha...
0 Reactions
14 Replies
13K Views
Habari zenu Wanajamvi? Natumai ni wazima wa afya niende moja kwa moja kwenye ujumbe ulionipelekea kufungua thread hii.Kutokana na ongezeko la shughuli za ujasiliamali mfano kilimo na ufugaji ardhi...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Wakuu habari za kazi, Nauza sofa mpya ambazo hazijakaliwa kabisa kwa shilingi laki mbili na elf themanini tu. Kwa mawasiliano unaweza kunicheck kwa
0 Reactions
12 Replies
4K Views
Je nani anajua sehemu zinapopatikana mashine za kuranda mbao Dar es Salaam? Je unafahamu na bei zake na aina. Natanguliza shukurani.
0 Reactions
6 Replies
3K Views
ninashida nayo sana pls mweny nayo
0 Reactions
0 Replies
762 Views
toka Mandela Road,Tuma meseji
0 Reactions
0 Replies
881 Views
Habari, simu tajwa hapo juu inauzwa laki na themanini. Ina mipasuko kwenye touch ila inafanya kazi vizuri. Kioo cha 4.7" Quad core processor with 1GB RAM 32 GB Memory n.k
0 Reactions
14 Replies
2K Views
Nauza iPod touch 5gen 32gb memory niambie unanipa simu gani, au unanipa shilingi ngapi. Namba yangu 0719908742, nina shida na pesa fasta hata leo
0 Reactions
7 Replies
2K Views
nauzaa motorola moto g 1st gen 4.5inch 8gb run Android 5.0 lollipop 200k pungufu tuongee 0719908742 usiogope
0 Reactions
0 Replies
642 Views
Habari zenu wana jamvi, Kwa wale mafundi TV nauza TV (screpa) imeharibika kioo ila vifaa vingine vipo ok. TV yenyewe ni LG,PLATT ,PLASM.INCHI 42 Kwa mafundi TV anayehitaji ani pm ASANTENI
1 Reactions
0 Replies
1K Views
Wakuu, Habari ya muda huu,naitaji kiwanja at least square meter 1000 kati ya haya maeneo mawili Goba au Kigamboni(isizidi 10 km) kutoka ferry. NB: Naitaji Goba sio Tegeta A
0 Reactions
14 Replies
2K Views
Tunashona suti za kiume na kike kwa kiwango cha juu na kwa haraka. Tunaweza kukushonea na kukutumia popote ulipo. Kwa maelezo zaidi wasiliana na mkurugenzi wa kitengo, Mr. Elias Zelemani 0784...
0 Reactions
0 Replies
739 Views
Salaam wa ndugu, Ninauza viwanja goba 30 kwa 30, kwa shilling million 20, vipo vingi karibuni kwa biashara. Namba yangu ni +255 714 723646. Karibuni sana
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Jamani huku vijijini kuna wadada nakutana nao wanakua hawana shughuli ya kufanya sasa katika kuwauliza wapo wanaosema wapo tayari kufanya kazi za ndani. Kwa mshahara usiopungua 40000 vipi kuna...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Nyumba inauzwa Chanika Tshs. Mil 70. Ipo ndani ya kiwanja cha Medium size, Ina master bedroom 1, sub master 1, vyumba vya kawaida 2, common toilet, sitting room and dinning, stoo na jiko. Nje ina...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Back
Top Bottom