Mashamba yanapatikana Bagamoyo

KIKAZI

JF-Expert Member
Aug 26, 2014
1,370
1,507
Habari zenu Wanajamvi?
Natumai ni wazima wa afya niende moja kwa moja kwenye ujumbe ulionipelekea kufungua thread hii.Kutokana na ongezeko la shughuli za ujasiliamali mfano kilimo na ufugaji ardhi imekua ni nyenzo muhimu katika kuwezesha ufanisi katika shughuli hizo.

  1. Napenda kuwataarifu wadau mbalimbali wanaopenda kumiliki ardhi kuna Mashamba yanapatikana maeneo ya Kiwangwa(Bagamoyo) njia ya kuelekea Msata.
  2. Bei ni Tsh 700,000/= kwa kila Heka na zipo 4Km kutoka barabara kuu ya kuelekea Msata.
  3. Hayo Mashamba yanamilikiwa na Wenyeji yani wakazi wa Msata wana hati za vijiji .
  4. Hayo Mashamba yanastawisha mazao kama vile Nanasi,Mpunga,Tikitimaji,Mahindi,
Kuna msemo unasema Little is more than nothing nawasilisha Asanteni sana
 
Nataka shamba pembeni ya mto ruvu
unaweza niuzia?kiasi gani eka?
 
Back
Top Bottom