Mtwara: Aunt Zainabs 100% Natural Super Clay

Mtwara: Aunt Zainabs 100% Natural Super Clay

Udongo huu unasaidia sana wenye matatizo ya chunusi, tumepata response nzuri sana kwa wenye matatizo hayo.
 
nimeununua leo ngoja niujaribu

Ninauhakika utaufurahia. Na ukinijulisha unautumia wapi nitakujulisha njia bora, mfano:

Wenye chunusi usoni.

Pima kijiko kimoja cha chai cha Aunt Zainab's Super Clay, tia kwenye kibakuli au kikombe kisafi, tia maji kidogo koroga na changanya mpaka udongo na maji vichanganyike viwe kama (paste), paka usoni kote, wacha udongo ukaukie usoni halafu kosha kwa maji safi, wakati unaosha uso fanya kama una scrub kidogo kidogo.

Fanya hivyo kila siku mara moja, baada ya wiki moja tunaomba tuwekee majibu.

Nashauri wataokafanya hivyo wajipige picha kabla na kila siku, wajionee matokeo.
 
Kwa dar ni wapi na bei gani

Samahani kwa kuchelewa kukujibu:

Dar es Salaam

Ilala / Kariakoo = Raymond Mushi - 0713422069 na Joyce Mchagga - 0719024967.Pemba Street House No 12 Karibu na Msimbazi Police.

Ilala kwa Masai Kimako = Mwanahamisi Saloon 0718775220

Kijitonyama - Vivian Mshomi - Stendi ya Makumbusho - 0757176678 / 078476678 / 071576678 / 0776154933

Temeke = Latifa au Mama Latifa - 0652717332 / 076960627

Tabata, Kinyerezi, Ubungo External = Kinda Balewa -0715868001 & Gaudencia Martin 0713653574

Sinza = Aunt Zainab - 0769302206

Bei za wasambazaji zitatofautiana na bei zetu za promotion kwa sasa, kwani kuna gharama wanazoingia za usafirishaji na faida yao.

Kwa maelezo yoyote ya ziada wasiliana na Aunt Zainab 0769302206 au babu Abdul 0756803528
 


    • Na sasa kwa mara ya kwanza Tanzania unaweza ku "afford" luxury ya "mud bath" nyumbani kwako.

      Mud Bath ni njia moja ya kutoa sumu za mwilini na kuufanya mwili uwe morororo na kujisikia mchangamfu sana kila unapoifanya. Tatizo kubwaa lilikwa ni gharama zake. Wenezetu nje hutumia mpaka dollar 200 kwa kufanya mud bath kwenye maspaa.

      Tanzania tumejaaliwa neema ya kuweza ku afford bath kama bure. Jaribu.

      Unachukuwa pakti moja ya udongo wetu, siku moja kwa wiki, ambayo unataka ku relax, unatia kwenye maji bakuli moja (kama nusu kita maji), unauacha kwa muda wa saa moja ujichanganye wenyewe kisha unautazama uzito wake, (uwe kama kwenye picha), unajisiriba mwili mima (kama kwenye picha, usiache sehemu, uso na kila mahala.

      Matokeo yake ni ya ajabu, uchovu wote huondoka mwilini, unajisikia fresh sana na ngozi inakuwa nyororo na vipele vipele vyote vinaondoka.

      Jisomee:

      Introduction of Mud Baths

      Mud bath is a detox therapy, which has become extremely popular around the globe. Until rather recently, many European practitioners promoted mud baths as a treatment for arthritis. This back to the basics, relatively simplest of alternative therapies, tends to help relax muscles, soothe aches, improve blood circulation and smoothen the skin. With today's emerging trends mud baths are often recommended to help reduce stress and leave us feel rejuvenated at the end of the session.

      [TABLE="class: cms_table_cms_table_cms_table, width: 255"]
      [TR]
      [TD="width: 100%, align: left"]
      bodywrapnew.gif
      [/TD]
      [/TR]
      [/TABLE]





      Skin and Detoxification

      Conscious detoxing is a great way to achieve optimum health. The best ways to detox is through the skin. Detoxification is one of the most effective methods to eliminate toxic substances that build up throughout our system. The toxins present in the environment constantly attack the body. These toxins get accumulated in the body's fat layers. Accumulation of toxins in the body cause harm to the biological processes. Hence, it becomes essential to remove the toxins regularly from the body otherwise; a high toxin load may cause skin problem, frequent or recurring colds, chronic pains, low energy levels, allergies and other illness.

      The skin is the largest breathing human organ. Keeping the skin healthy promotes general health and well being. Taking a hot bath or sauna promotes sweating that flushes the toxins away from the body. Mud baths draw out the toxins and impurities from the body, exfoliating and nourishing the skin.

      Read more: Mud Baths Mud Baths



 
Aunt Zainab's Natural Super Clay, sasa imeonesha matumaini makubwa kwa wale wenye vipara na wale wenye matatizo ya kung'oka nywele, nywele zisizo na afya, nywele zinazokatika katika, nywele zinazong'oka kwa kutumia madawa ya nywele yenye kemikali kali, nywele zinazong'ka kwa kuvaa sana mawigi, nywele zinazong'oka baada ya kusukia nywele za bandia kwa muda mrefu.

Pitia hii link kujionea mwenyewe: https://www.jamiiforums.com/jf-doctor...uper-clay.html
 
Back
Top Bottom