Zanzibar: 100% Natural Super Clay

Zanzibar: 100% Natural Super Clay

Udongo huu unasaidia sana wenye matatizo ya chunusi, tumepata response nzuri sana kwa wenye matatizo hayo.
 
Unauzwaje?

Kwa Zanzibar nashauri uwasiliane na msambazaji Dr. Sania 0754650480 lakini kwa kawaida:

Rejareja haizidi 3,500 (Recommended Retail Price) kutoka kwa wasambazaji, na ukinunuwa kwa jumla haizidi 2,500 (dazeni moja na kuendelea).

Kwa maelezo zaidi au punguzo la bei wasiliana na Dr. Sania.
 
Wenye chunusi usoni.

Pima kijiko kimoja cha chai cha Aunt Zainab's Super Clay, tia kwenye kibakuli au kikombe kisafi, tia maji kidogo koroga na changanya mpaka udongo na maji vichanganyike viwe kama (paste), paka usoni kote, wacha udongo ukaukie usoni halafu kosha kwa maji safi, wakati unaosha uso fanya kama una scrub kidogo kidogo.

Fanya hivyo kila siku mara moja, baada ya wiki moja tunaomba tuwekee majibu.

Nashauri wataokafanya hivyo wajipige picha kabla na kila siku, wajionee matokeo.
 
Napenda kutoa shukrani zangu za dhati kwa wateja wa Unguja walioutumia udongo wetu na sasa wanarudi tena na tena kuununua. Kuna mtu aliniambia kuwa moja katika masoko magumu sana ku penetrate ni Zanzibar, kusema kweli hilo hatujakumbana nalo, ninahisi ni kwa kuwa udongo wetu umeonesha matokeo mazuri ya haraka.

Asanteni Zanzibar na tumeshafikisha bidhaa nyingine kwa wale waliokosa jana, sasa unapatikana na tutahakikisha hamuukosi tena, poleni kwa usumbufu. Wale walio ni pm jana walioukosa, nimeshamwandikia Dr. Sania atawapa pakiti moja moja bila malipo kufidia usumbufu mlioupata jana. Poleni kwa usumbufu.


Unapatikana kwa:

Zanzibar (Unguja)

Dr. S. Shafi 0754650480
au 0773650480
 
Kukata harufu kali ya jasho mwilini:

Namna ya kukata harufu kali ya jasho mwilini kwa kutumia Aunt Zainab's Natural Super Clay:

Kijiko kimoja cha chai udongo wa Aunt Zainab's Natural Super Clay, nusu kikombe cha maji safi, changanya pamoja mpaka iwe rojo lisiwe zito wala jepesi sana la mchanganyiko wa maji na udongo (isiwe nzito sana na isiwe nyepesi), paka kwenye kwapa zote, paka kwenye pachu za mapaja, wacha ikaukie mwilini kisha nawa kwa maji safi. Fanya hivyo kila siku kwa wiki moja ikiwezekana kutwa mara mbili. Tuletee majibu kwa pm.

Asante
Zainab
 
Aunt Zainab's Natural Super Clay, sasa imeonesha matumaini makubwa kwa wale wenye vipara na wale wenye matatizo ya kung'oka nywele, nywele zisizo na afya, nywele zinazokatika katika, nywele zinazong'oka kwa kutumia madawa ya nywele yenye kemikali kali, nywele zinazong'ka kwa kuvaa sana mawigi, nywele zinazong'oka baada ya kusukia nywele za bandia kwa muda mrefu.

Pitia hii link kujionea mwenyewe: https://www.jamiiforums.com/jf-doctor...uper-clay.html
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom