Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.

On JF:

Nyumba inauzwa, iko bambucha barabara ya kitunda kivule, inavyumba 4 vya kulala kimoja master, sitting room, dinning room, study room, jiko na vyoo vya public, inaumeme na imeezekwa kwa vigae...
0 Reactions
18 Replies
5K Views
Nauza kiwanja kipo goba km2 kutoka barabara ya lami kipo kwenye barabara ya mtaa. Mitaa imepangika vizuri na kumejengeka vema kuna umeme na huduma zote za kijamii. Ukubwa 20*20meters bei 9mil...
0 Reactions
7 Replies
2K Views
1.Ukubwa sqm 2000,bei 75mil. 2.Ukubwa sqm 900,bei 45mil Vyote vipo kwenye barabara za mtaa na ni dakika 5 tu kutoka Bagamoyo Road,umeme na maji vipo jirani.Unsurveyed na nyaraka za umiliki...
0 Reactions
18 Replies
5K Views
Make Toyota Model Alteza Price Mil 7.5 fixed Location Dar es Salam Kinondoni Contact +255764361843
0 Reactions
2 Replies
1K Views
guys nahitaji CPU ya kisasa ya computer yenye HDMI port na yenye HDD 300gb & above, Mwenye nayo please inbox me
0 Reactions
0 Replies
668 Views
Ninauza external ya transend kwa ela ndogo tsh 100k tu. Kwa maelezo zaidi 0713 706571
0 Reactions
0 Replies
741 Views
Brand new S3 for sale.. used for 2 weeks.. 0784035159(whatsapp) for more info amd pictures
0 Reactions
3 Replies
855 Views
Nauza smartphone tecno n3 bei 60 tu no tatizo kabisa ina crank ndogo usiku hainekan mchana inaonekana kwa mbali.ukiweka protector hainekani0712505049
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Wandugu kama kunamtu anauza hyo model hapo juu plz anijulishe, nahitaji MPYA kabisa kwaajili ya kuandika thesis yangu.
0 Reactions
0 Replies
737 Views
Brand New Giorgio Armani Aviator shades for sale:- Price is 500,000 Tshs Comes with original box, case, soft pocket and instruction manual. Call 0714881500. Location:- Dar es salaam. Whatsapp...
0 Reactions
0 Replies
786 Views
Habari wana JF, Nahitaji frem ya biashara maeneo yaliyochangamka. Bei isizidi 50,000/=. Kwa mwenye nayo tuwasiliane kwa 0652651853..
0 Reactions
10 Replies
5K Views
Hizi ni PowerBank zinazoweza kuchajiwa kwa kutumia umeme au solar, unaiweka kwenye umeme tu kama unavyochaji simu, au pia unaweza kuiweka kwenye jua hata kwa dirishani tu inatosha kujichaji hadi...
0 Reactions
1 Replies
933 Views
1.JONWAY AIR COMPRESSOR Model:EBG80 Voltage/Frequency(V/HZ):220-240/50 Power:2.2kw(3HP) Air flow F.A.D:152L/min(5.4C.F.M) Speed(r.p.m):980 Tank:80L(21.1GAL) Max.Pressure:16 bar(240 psi) Packing...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Wanajamvi asubuhi hii nilipost advert hapa kwamba nina king'amuzi cha kuuza (azam tv) king'amuzi na dish yake. Wengi mnauliza bei nitakiuza shilling laki moja na elfu kumi tu ila bargaining ipo...
0 Reactions
8 Replies
2K Views
Wadau ninauza line za uwakala wa mitandao ya TIGOPESA,MPESA na AIRTEL MONEY kwa anayehitaji.PIA kama kuna mtu ana interest ya kuendesha biashara hii inayoendelea pia tunaweza kuongea nikamwachia...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Nina 4mil cash. Naitaji bajaji hata kama imetumika lkn sio sana. Nipo dsm
0 Reactions
3 Replies
655 Views
Kiwanja kipo 20*19 mbezi mwisho kuelekea njia panda ya makabe na tegeta A,kiwanja kipo maeneo ya tegeta A eneo ni nzur kuna barabara mpaka kwenye kiwanja pia njia ya umeme bei million 6 mazungumzo...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Ni hp elitebook 2540p core i7 ram 4gb hdd 120gb up to 3hrs battery life webcame bluetooth nk ipo in good condition aliye tayari kuexchange na smartphone anicheki 0688206680 iwe in good condition...
0 Reactions
6 Replies
898 Views
Anatafutwa mtu anayeweza kupanga nyumba iliopo mkabala na Idiva bar yenye vyumba vitatu Choo ndani Jiko Sebule kubwa Maji wakati wote Na uwanja na usalama mkubwa Bei 200000 kwa mwezi HAKUNA...
0 Reactions
0 Replies
815 Views
Back
Top Bottom