Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.

On JF:

Natafuta supplier au kiwanda cha nylon packaging bags kama za DHL za kusafirishia vifurushi. Ziwe na uwzo wa kuwa sealed kwa gundi na sehemu ya kuattach documents kwa juuu. Sample pichani. Kama...
0 Reactions
0 Replies
772 Views
Ni wakati muafaka tukawa na website yetu. Malipo ni kutokana na bidhaa zote zitakazouzwa kupitia website hiyo kwa hiyo tunataka designer, developer, manager, marketeer na sales solutions amma...
0 Reactions
21 Replies
2K Views
Natafuta fundi bati mzuri anifanyie marekebisho. Nimeezekewa bati jipya hivi karibuni na mtu aliyejifanya ni fundi lakini kaharibu. Bati jipya kabisa, mbao mpya kabisa lakini linavuja kila sehemu...
0 Reactions
15 Replies
3K Views
Aunt Zainab sasa anawaletea bidhaa mbadala za Eternal na mtiririko huu utakuwa wa bidhaa tofauti kwa ajili ya wale wanaojali afya zao: Slimming Tea ni majani ya chai ya asili kutokea China, yana...
0 Reactions
8 Replies
12K Views
Gari aina ya Toyota starlet inauzwa 3.3m tu for more detail just call 0713 234224
0 Reactions
16 Replies
5K Views
Natafuta supplier au kiwanda cha nylon packaging bags kama za DHL za kusafirishia vifurushi. Ziwe na uwzo wa kuwa sealed kwa gundi na sehemu ya kuattach documents kwa juuu. Sample pichani. Kama...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Eneo: Kigamboni (kwa Pinda), Hakijapimwa. Ukubwa: Miguu 28 kwa 30 Hakina mgogoro (Kina hati ya S/Mtaa) Umeme umefika Ni karibu na mradi wa NSSF Bei: 11m Contact: 0767515333
0 Reactions
8 Replies
2K Views
Mwenye uhitaji wa hivyo vitu tajwa ( External HD ya Transcend 500GB na Airtel modem ), vinapatina ( naviuza vyote kwa pamoja 80,000 ) nimevitumia kwa mda wa siku tatu, modem ya airtel ina bando...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Nipo Dar ni nzuri haina tatizi haijawai kufunguliwa ina crank kidogi kwenye kioo. Whatsapp 0712505049
0 Reactions
4 Replies
1K Views
💥OFFER YA EID HIYO💥 HP Probook 6460b... Core i5 2.2ghz... ram 4gb na hdd 500gb... excellent condition **** Bei ni 500k ****
0 Reactions
0 Replies
787 Views
Iwe ya kisasa nataka kumvalisha mchumba wangu nipo Dar mawasiliano 0783478905
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Nahitaji kwenda huko baada ya sikukuu sijawahi fika na nahitaji kukaa kwa ziku kadhaa la msingi japo nitaomba Abc zingine kutoka kwenu ni hotel gani nzuri ya kufikia ambayo unaweza fanya booking...
1 Reactions
27 Replies
3K Views
Habari zenu wadau? Naomba msaada. Natafuta paka (domestic cats) wawili - dume na jike. Wasio na mabaka kama ya chui. Wenye mabaka kama ya chui wana asili ya kuwa deviant (paka mwitu)- huwa na...
0 Reactions
17 Replies
2K Views
Habari viongozi.. Naomba kuuliza wapi nitapata machine kama hii hapa Dar es salaam pamoja na bei yake. Ni machine ya kutengeneza pea nut butter na mambo mengine mengine... Natanguliza shukrani.
0 Reactions
12 Replies
10K Views
Nahitaji iPhone 6 au 6 plus used iliyo kwenye mint condition,bila scratches. Kama unayo nichek at 0717301520
0 Reactions
0 Replies
948 Views
Tunatoa lock simu kama zifuatazo samsung htc sony nokia iphone blackberry pantech siemens softbank lg dell huawei zte na zinginezo nyingi kwa mawasiliano piga 0774439364
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Kwa maelezo zaidi, picha nyingine na details za gari tuwasiliane kupitia 0674924076 au ni- PM Kwa Mteja serious tu!
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Processor: intel(R) Core (TM) i3 CPU @ 2.40 GHz 2.40 GHz Ram: 6 GB System type: 64 bit OS, x64-based processor Storage: 300Gb Plus: charger, healthy battery, mouse Bei 550000/= tsh Conditions: in...
0 Reactions
2 Replies
901 Views
Plot inauzwa ya kujenga nyumba, ipo maeneo ya Kongowe Kilungure. Bei maelewano, na ruksa kwenda kuiona na kujiridhisha kama ipo fresh na salama. Contact 0753820584.
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Storage: 16gb Colour: black Price: 550,000 Call 0654060250
0 Reactions
6 Replies
1K Views
Back
Top Bottom