shamba linauzwa chanika mwanzomgumu lina ukubwa hekari nne na pia shamba linafaa kwa makazi,gari binafsi inafika mpaka shambani.bei ya kila hekari ni Tsh 1,300,000 na maelewano pia yapo 0714621548
Wapendwa wanajukwaa! Natafuta mashine ya kutotolea mayai yenye uwezo wa kubeba mayai kati ya 200 mpaka 500. ...ukiniambia mahali zinakopatikana na bei zake ntakushukuru.
1.GEZA ULOLE
a) Block 23, plot 266, 989 square meter, bei milioni 22 ila maelewano yapo – kina hati
b) Eka 35, bei milioni 250, ila maelewano yapo
2.TOANGOMA
a) Block 2...
Habari zenu wadau.
Kama kichwa kinavyosema, nyumba tatu zilizo kwenye kiwanja chenye title deed moja zinauzwa tshs 160million. Plot imezungukwa na fence na kuna nafasi ya parking na hata watoto...
main technical invoice ya hio freezer ya super general:
volum:200L/SGF244H na 155L/SGF222
T Input power:165 na 128
weight:39na33
freezing t:18
bei ni 550000/=
contact 0719105823
Karibu!
Ni muuzaji mahiri wa magari ya showroom na mikononi mwa watu. Tuma msg au whatsapp na ukipenda piga simu, magari ni mengi sana kama Vitz, Alteza, Lluger, n.k. Sema unataka gari gani!?
Namba ndio...
wandugu habari, naombeni mnipe ushauri juu ya hayo magari apo juu kabla sjanunua. ushauri wenu nautegemea sana katika kutafuta gari ya kuazia maisha yaani gari yangu ya kwanza. hata kama kuna...
Ninahitaji gari ya kununua ndani ya wiki mbili kuanzia leo, gari ya familia either noah old model au Carina TI au PROBOX ambazo zina namba walau hizo kwenye kichwa cha habari na ubora, na...
1. Gari aina ya Caldina station wagon, ipo katika hali nzuri sana. Haitumiwi sana, picha na maelezo zaidi baadae.
Bei 6 M.
2. Air condition mbili, zimefungwa hazijatumika kabisa, mradi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.