Gari ya mc inauzwa mil 3 tu.
contact: 0713774746 (whatsapp also)
Lipo DSM na pia ni fixed price.
gari inatembea fresh na ac ndani iko bomba tu.
HII GARI ISHAUZWA......
KUNA GARI ZINGINE...
Kipo kijaka kigamboni-Dsm
Nauza kiwanja kipo kijaka kigamboni Dsm,nje ya mji mpya wa kigamboni.ukubwa wa kiwanja ni 30x35 sqm. Kipo karibu na barabara kubwa inayotoka Daraja jipya la kigamboni...
HP Pavilion 15-p008tx... core i5 1.7ghz boosted to 2.4ghz... ram 8gb and hdd 750gb... 2gb dedicated nVidia GRAPHICS Card... 15.6" LED Display... Clean Condition... Comes With Windows 10
*****...
Mwenye gari tajwa hapo anifate pm tuone kama twaweza fanya biashara, najua kuna watu wanaweza kuwa bado wana magari mazima kabisa ni kama mpya isipokua wanataka kubadilisha aina ya gari na anauza...
Wandugu salaam,
Nauza Kiwanja kilichopo hapa Dar es Salaam eneo la Madale. Kina ukubwa wa hatua 20 kwa 25. Nimeshakijenga msingi wa Nyumba na kuchimba shimo la choo na kulijengea kabisa kwa hiyo...
Habari zenu wapendwa?
Natafuta chumba cha kupanga maeneo ya ubungo extenal na mabibo hostel, kiwe chumba master na sebule, ndani ya fence, kiwe na maji na umeme na kisiwe mbali na kituo cha...
Habari za Muda huu. Nyumba inapangishwa Arusha Sakina White rose mita kadhaa kutoka Triple A. Nyumba hii ina Vyumba Vitatu,Choo na Siting Room, Bei yake ni Shilingi 250,000/ Kwa mwezi. Kwa Maelezo...
Habari wanajf!!' kiwanja khekari moja inauzwa maeneo ya mlandizi, kiwanja hicho kipo kilometa 3 kutoka stand ya mlandizi mkono wa kulia kama unakuja Dar es salaam au upande wa kushoto kama unatoka...
Kwa wale wapenzi Wa Ubuyu Wa Zanzibar wenye utamu Wa kipeee unapatikana kwa shilingi 1000 tu kwa paketi. Ukihitaji kuletewa kwa wale ambao wapo dar... delivery cost/gharama ya kuletewa ni Tshs...
Nyumba imejengwa siku za karibuni (mpya). Ipo Ununio umbali wa kilometa tisa kutoka Mbuyuni (Njia panda ya kwenda Kunduchi), kwenye eneo lililopimwa na lililosheheni nyumba za kisasa. Nyumba hii...
Nyumba imejengwa siku za karibuni (mpya). Ipo Ununio umbali wa kilometa tisa kutoka Mbuyuni (Njia panda ya kwenda Kunduchi), kwenye eneo lililopimwa na lililosheheni nyumba za kisasa. Nyumba hii...
This is a newly built residential mansion constructed at high standard of workmanship and specifications. It is located at Ununio, an emerging posh residential neighborhood. The bungalow provides...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.