Nahitaji generator kwa ajili ya matumizi ya nyumbani kama kuwasha TV, Taa, Friji na AC. Kwa wenye utaalamu ni generator gani nzuri kwa haya mahitaji? Na ni wapi naweza kupata.
Pia ningependa...
Wakuu nauza sehemu ya kutengenezea chipsi ikiwa kamili pamoja na vyombo kama majiko mawili, kabati la alminium, karai, yani kila kitu kinachohusika wewe unakuja na mtaji tu..kipo dodoma mita123...
Habarini wadau.natumai mpo poa sana nimekuja kwenu kuwatangazia kwamba kuna nyumba bro wangu anaiuza iko maeneo ya Arusha njiro ghorofa mbili.
Kiwanja ni 30*25
nyumba ina vyumba vinne master...
ninaparcel yangu nimenunua kutoka german lakn nimeshindwa kusafirisha kwa dhl man wamesema hawaruhusu kusafirisha parcel zenye betre wanahofia madhar kweny ndege mizigo yangu ipo tu sijajua...
Naitwa MC SIMON Mzungu ni mshereheshaji (MC) katika harusi,send off na matukio mbalimbali,mara nyingi Nimealikwa katika vikao mbali mbali vya harusi lakini Washereheshaji Tunaulizwa maswali...
Aina ya gari: Suzuki vitara short chesis
Transmission: Manual
CC: Below 2000
Odometer: 200,000
Haina historia ya ajali
Body ni mpya na yenye mwonekano mzuri
Mahali ilipo: Dar
Sababu ya kuuza...
wakuu msaada wenu nahitaji mdada wa kazi.nipo dar es salaam ila napenda wa kutoka mikoa ya iringa,dodoma,singida,kilimanjaro ila asiwe mpare,mwanza,shinyanga,tabora,zanzibar.wa zanzibar atapewa...
Nyumba mpya ya vyumba 3 inapangishwa Nyamongoro Ilemela Mwanza.
Kwa maelezo zaidi;View Property
Kuangali nyumba na viwanja mbalimbali tembelea; DarProperty: East Africa's Ultimate Property Guide
anayehitaji kutengenezewa injini za magari na gearbox za toyota 1VD,1KD,2KD,1KZ 1HZ 3L na 5L
Tuwasiliane kwa no 0766981308
Pia tunafanya service ndogo na kubwa.
BARISON SEPTIC SOLUTIONS CO Ltd, Ni kampuni inayohusika na system za choo ambazo hazijai na haina haja ya kuchimba mashimo makubwa ndani ya Nyumba yako, System inaitwa Bio digester kazi yake kubwa...
ninauza kabati za aluminium kwa ajili ya kuhifadhia dawa.ni kabati nzuri na kubwa.napatikana maeneo ya mbezi mwisho.namba hizi zitakupa maelezo zaidi0687883420
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.