TheThreatTr
JF-Expert Member
- Mar 20, 2015
- 339
- 13
Habari wanajf!!' kiwanja khekari moja inauzwa maeneo ya mlandizi, kiwanja hicho kipo kilometa 3 kutoka stand ya mlandizi mkono wa kulia kama unakuja Dar es salaam au upande wa kushoto kama unatoka Dar es salaam, umeme upo karibu umbali wa mita 30, barabara ipo mpaka kwenye kiwanja, pia ni sehemu ambayo unaweza kufanya biashara kama ufugaji..
Kwa mawasiliano nipigie kwa 0654158574/0765353056/0684974811...ASANTENI SANA:
Kwa mawasiliano nipigie kwa 0654158574/0765353056/0684974811...ASANTENI SANA: