Nyumba imejengwa siku za karibuni (mpya). Ipo Ununio umbali wa kilometa tisa kutoka Mbuyuni (Njia panda ya kwenda Kunduchi), kwenye eneo lililopimwa na lililosheheni nyumba za kisasa. Nyumba hii...
This is a newly built residential mansion constructed at high standard of workmanship and specifications. It is located at Ununio, an emerging posh residential neighborhood. The bungalow provides...
Wadau Kibaha kwa Mathias karibu na kiwanda cha magari ya jeshi nyumbu, kuna viwanja vyenye ukubwa wa hatua 20 kwa 20 vinauzwa muuzaji ana shida anahitaji kuitatua kama unahitaji ni Tsh 4 milion...
Natumai ni wazima na mnaendelea vyema kujenga taifa,
Ninauza ubuyu kutoka Zanzibar kwa bei poa na nipo tayari kutoa kwa order,karibuni sana wadau na mungu awabariki.
Exclusive offer for Office Spaces TO RENT at Ubungo Plaza in Dar Es Salaam. $600 Per Month 3months deposit accepted.
SPACIOUS 46SQURE METER with AMPLE SAFE PARKING for your car the whole day...
AINA : MITSUBISHI LANCER
MWAKA: 1999
RANGI: BLUE
CC: 1597
IMETEMBEA: KM 152,300
HALI: INATEMBEA, IKO VEMA
ENGINE: 4G 92 ( UKIBADILI UKAWEKA TOYOTA INAFAA ZAIDI INGINE 4E)
BODI NA NDANI: SAFI ILA...
Ni kiwanja cha ukubwa wa 25 x 20, kina nyumba (sio ya kisasa) ya tofali za block na choo cha nje. Haina uzio. Ipo mtaa wa kwamathias, mita 400 kutoka kwa mzee mathias barabara ya zamani.
Hakuna...
Salaam,
Mdau yeyote mwenye kujua taarifa zote muhimu za HIACE USED kutoka nje na mtambo mdogo wa kuchakata mawe na kutenga dhahabu (kutenga dhahabu kutoka kwenye mawe).Yeyote anayeweza kunisaidia...
[SIZE=3]Kiwanja kinauzwa Kibaha kwa Mathias. Kina ukubwa wa mita 30 x 35. Kipo umbali wa Mita 100 kutoka barabara ya zamani karibu na NEW ROMBO PUB. Miundo mbinu ya maji, barabara na umeme ipo...
Iwe ina vyumba vitatu vya kulala, jiko, sebure. Kiwanja unachoweza kupaki magari matatu au manne. Iwe katika maeneo ambayo kuna barabara gari inaweza kuingia. Usilete nyumba ambayo parking zake...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.