Kipo sasi km 1.5 kutoka lami barabara ya Arusha - Moshi. Hatua 18 kwa 23. Umeme na maji ni ya kumwaga. Ni karibu na kilipo Chuo cha Ualimu cha Arusha TTC.
Bei ni mil. 15 maongezi yapo.
Twanga...
FURSA YA KIFEDHA KWA WAJASIRIAMALI WA KUKU NA MAHINDI
Je wewe ni mjasiriamali?
Je ungependa kukuza biashara yako?
Kama ni msindikaji wa chakula una kuku, mzalisha ji wa vifaranga...
APPLY NOW to the LEAD Project Investment Fund
Are you an entrepreneur?
Are you looking to expand your business?
Poultry feed processor, hatchery, poultry meat processor, maize seed...
APPLY NOW to the LEAD Project Investment Fund
Are you an entrepreneur?
Are you looking to expand your business?
Poultry feed processor, hatchery, poultry meat processor, maize seed...
Naomba nipe kazi nikusafishe na kukung'arisha popote ulipo.
Pia nitakusaidia kuondoa Chunusi, Mba, Fangasi, Makovu, Vipele, Harufu mbaya mdomoni na mwilini, makunyanzi, michirizi na kadhalika...
Ninauza htc one M7 used with camera issue kwa bei ya laki mbili tu. Ninaiuza bei chee sababu kwenye giza camera yake ya nyuma inakuwa na rangi ya pink.Tofauti na hapo simu iko safi na iko intact...
Habari zenu
kama kichwa cha habari kinavyo sema,natafuta power benk kwa anae uza bei ya jumla .Zianzie 8000mah na kuendelewa. ANAYE UZA ANI PM.
ASANTENI
Upande unapangishwa,vyumba viwili vya kulala kimoja kina master,choo cha public. kuna jiko la ndani na luku inajitegemea kodi kwa mwezi laki mbili na nusu. Ina takiwa kodi ya mwaka hadi miezi 10...
habar ndg za mapumziko, napenda chuku fulsa
hii kuwaomba ndg jamaa rafik pia, mm ni dereva
nmekuja kwenu najua kuna naweza pata msaada.
km kuna m2 anaweza nikabidh gar nikamletea
hesabu...
piga simu au sms 0784258125
isiwe copy/fake
isiwe na scratches
iwe imetumika kidogo
iwe na accessories zake
rangi yeyote ila nyeupe itapewa kipaumbele.
Tv ya nchi 21 inahitajika..
Iwe nzima kabisa na iwe inaonesha kwa clarity nzuri, maana'ke yabidi iwekwe salon ambamo itakuwa ON kwa masaa mengi kwa siku.
Bajeti ni 70,000/=