Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.

On JF:

Gari ipo dodoma na ipo katika hali nzuri 0714 943684
0 Reactions
2 Replies
1K Views
habali wakuu, nahitaji generta ndogo used kwa matumizi madogo ya nyumbani kama unayo tiwasiliane 0754078015 nipo dar
0 Reactions
0 Replies
874 Views
Asalaam wana jukwaa, natafuta gari Toyota IST namba C au D iwe kwenye hali nzuri na isiwe na tatizo lolote. bajeti yangu haizidi milioni nane. kama unayo nicheki kupitia 0654209804
0 Reactions
2 Replies
793 Views
NZDUSD = Buy NZDJPY = Buy NZDCAD = Buy NZDCHF = Buy EURNZD = Sell GBPNZD = Sell AUDNZD = Sell NB: Every trade could be entered with a stop loss of 100 pips and a take profit of 200...
0 Reactions
0 Replies
588 Views
Mercury nyeupe inapatika , kilo moja ni Tsh 500,000. Nipo Mwanza. Kwa mawasiliano zaidi tuonane inbox.
0 Reactions
4 Replies
4K Views
Naitaji bajaji hasa ya abiria used kidogo nikupe kiwanja high density kilichopo shinyanga mjini papale,kilishapimwa hati bado. Mimi siishi huko tena ,aliye seious ani PM
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Haijawahi tumika kama bodaboda. Ina miezi 4. Ina vibali vyote. Bei: 1.7m 0714134399. Ipo Dar es salaam.
0 Reactions
6 Replies
1K Views
Wakuu Mwenye Kuuza Dekoda Pekee Yake Ya Azam Bila Dishi, Anipm Tafadhali Nahitajii.
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Ni nzuri zipo ktk hali nzuri sana ukiziona na kuzijaribu hutaamini matunzo yake ni Spacio na Nissan Primers. Picha hizi hapa japo camera si nzuri sana. Mawasiliano 0713791233 zote zipo dar.
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Gari lipo dar es salaam kigamboni halinatatizo lolote model honda cr-v kilometer 100,000 limemetembea year 1998 cc 1570 air bags 2 transmission auto fuel petrol bei 5.6mill (maelewano yapo)...
0 Reactions
4 Replies
3K Views
TANGAZO MAALUM: Chuo kikuu cha kimataifa cha kampala kilichopo Dar es salaam-Gongolamboto kinapenda kuwatangazia nafasi za masomo kwa watu wote walio maliza kidato cha nne, kidato cha sita na...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Hello Jamiiforums. Nimejitolea kuandika subtittles kwa wale watengenezaji wa movie za kiswahili. Nitakufanyia kazi bora kabisa kwa kutafsiri lugha ya kiswahili kwenda kingereza kwa asilimia...
0 Reactions
2 Replies
932 Views
Salute wakuu, Kutokana na kwamba watu wengi wamekuwa wakikutana na changamoto nyingi katika shughuli za ujenzi wa nyumba zao kama vile,tabia zisizo za uaminifu kwa baadhi ya mafundi za...
0 Reactions
16 Replies
5K Views
Taja Na Bei Au Kwa Wale Wa K'koo Ni Pm Tutameet
0 Reactions
0 Replies
742 Views
Life at University is so much fun but it can get hard sometimes and even harder after graduating. Would you like to earn a part time income while studying? Or fulltime income after graduating or...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
LG g3 bado mpya kabisa, bei 250,000 kama cash leo bei inapungua.
0 Reactions
7 Replies
1K Views
TABLET MPYA KABISA AINA YA ARCHOS KUTOKA FRANCE SPECIFICATIONS: 8" 2X Camera Wi-Fi HD 1080p RAM 1 GB 8GB microSD slot Bluetooth GPS Ina Magnetic cover board Multi touch capacitive...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Macbook core2duo, 250gb Hdd, 2gb ram, nVidia, nk nk nk. Cha msingi iwe nzima bila tatizo, iwe na betri pia adopter__ inshort iwe inafanya kazi. Badget yangu laki tatu tu. (300,000/=)...
0 Reactions
8 Replies
1K Views
Hivi viwanja vipo mjini mahala ambapo huduma za kijamii zinapatikana kwa urahisi sana. UFAFANUZI NA BEI HUU HAPA. ur Mita 35 na sm 60 up Mita 12 na sm 70 bei Mil 15 ...................... ur...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Kama wewe unasumbuliwa Na tatizo la bili kubwa ya umeme fatilia makala zangu; Zinazo elekeza namna ya kuondoa tatizo hapa jamii forums. Fatilia makala zilizo anzishwa Na ndugu transistor...
1 Reactions
11 Replies
2K Views
Back
Top Bottom