Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.

On JF:

Nauza kabati za vioo kwaajili ya kuuzia simu na vitu vingine ving ukiwa tayari Namba hii hapa 0655153518
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Tuletee taarifa za huduma yako ukiainisha JINA, PICHA, MAHALI ILIPO/LOCATION (Mkoa, wilaya na mtaa, pia waweza kutuma makisio ya umbali kutoka eneo lolote maarufu mfano stendi ya mabasi, stesheni...
1 Reactions
0 Replies
1K Views
Wi-fi router ya huawei inauzwa elfu 95,000 inaingia line zote. Inakaa na chaji masaa 6. Inaconnect pc 5. Ipo katika hali nzuri na inafanya kazi. Napatikana dar kimara kologwe 0754078015
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Tunauza compressors kubwa na ndogo kutoka Japan kwa matumizi mbali mbali kama kujaza upepo kwenye tairi kupuliza rangi kusukuma oxygen kwenye migodi na kusafishia madini kwa maelezo zaidi piga...
0 Reactions
2 Replies
3K Views
Tecno M7 going cheap,only 140,000 with the following specification . 1. Dual sim 2. Internal storage 4gb plus extenal memory 8gb 3. 1.3ghz dual core processor 4...
0 Reactions
13 Replies
3K Views
Hotbelt season 2 Pata mikanda ya kupunguza na kuondoa kabisa kitambi kwa asilimia 97. Imetengenezwa kwa latex ambayo inafanya usweat hivo kubutn mafuta. Material yake ni kama nguo ivo unaweza...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Ni vile vilivyobora kabisa na salama, vilivyosajiliwa na kuruhusiwa na mamlaka ya chakula na dawa Tanzania. Nitakuletea chochote na sehemu yoyote utakayotaka, Dar es salaam au nje ya Dar es...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
cm tajwa hapo juu inauzwa kwa kiac cha sh 350000tu. mie niko mwanza cm ina hali nzuri kbsa kwa alie tayari anicheki kupitia 0764339400
0 Reactions
2 Replies
904 Views
TUNAWEZA learning centre tunatoa huduma ya kujifunza kiingereza (English course ) kwa watu wazima. Tunapatikana Mbezi Africana na muda wa masomo ni jioni saa 11 mpaka saa 1, kuanzia jumatatu...
1 Reactions
4 Replies
1K Views
Habarini wakuu. NAHITAJI chumba kimoja cha kupanga Bagamoyo MJINI. Kiwe MAENEO ya KARIBU Na shule ya sekondari ya EAGLES, Kiwe Na umeme Na MAJI yapatikane. Nyumba husika isiwe Na WATU WENGI Na...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
natafuta bidhaa tajwa hapo juu kwa ajili ya Sony Home Theater if possible za model DAV-DZ 340. Wire ni za speaker zote 5 pamoja na subwoofer na hata kama mtu anazo za model tofauti nazo poa cos...
0 Reactions
0 Replies
944 Views
Kiwanja hicho kina ukubwa wa miguu 50 kwa 45 bei sh.mil.5 nitafute o714593354 au 0767593354
0 Reactions
13 Replies
5K Views
Mazda Premacy Year 2004 colour Grey 7 seaters cc 1990 petrol motorvehiacle valid insurance valid full importation documents DVD player with LED TV spear tyre with all necessary tools PRICE 5.5M...
0 Reactions
4 Replies
3K Views
Habari zenu wapendwa, kuna mtu aliweka tangazo kwenye website ya kupatana body ya gari ya Chaser sx80 tatizo hakuweka mawasiliano yake aliweka tangazo tu hiyo body ya chaser sx80 nimeweka na picha...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Wana JF, Naomba mniunge mkono kunijuza wapi naweza kupata masoko ya ziada. Katika kujitafutia ajira,nimeamua ku pack Korosho kwa packaging za hali ya juu.Korosho zetu zimetengenezwa kwa ubora wa...
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Iwe saloon iliyo kuu kuu kidgo tunaingia nae mkataba baada ya muda fulani gari inakuwa yangu
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Hi Nahitaji body ya RAV 4 ambayo haijawahi kupata ajali, milango Mitano. prce negotiable call 0654163737
0 Reactions
0 Replies
879 Views
Nauza mayai ya kanga kwa wanaotaka kutotolesha au kula. Yai moja shs 500.
0 Reactions
11 Replies
8K Views
1.Wenye matatizo ya ngozi, nywele, sukari, blood pressure, vidonda vya tumbo, moyo, joint, mifupa, macho, nguvu za kiume, upungufu wa vitamins mwilini n.k 2. Wenye mahitaji ya urembo kiujumla...
0 Reactions
13 Replies
7K Views
Nauza simu blackberry z10 kama kuna mtu anahitaji ipo katka hali nzuri sana bei 300,000 punguzo lipo kwa anayetaka. Tuwasiliane kwa 0756386179 picha Whatsapp nitamtumia.napatikana mbezi beach...
0 Reactions
0 Replies
921 Views
Back
Top Bottom