Tuletee taarifa za huduma yako ukiainisha JINA, PICHA, MAHALI ILIPO/LOCATION (Mkoa, wilaya na mtaa, pia waweza kutuma makisio ya umbali kutoka eneo lolote maarufu mfano stendi ya mabasi, stesheni...
Wi-fi router ya huawei inauzwa elfu 95,000 inaingia line zote. Inakaa na chaji masaa 6. Inaconnect pc 5. Ipo katika hali nzuri na inafanya kazi. Napatikana dar kimara kologwe
0754078015
Tunauza compressors kubwa na ndogo kutoka Japan kwa matumizi mbali mbali kama kujaza upepo kwenye tairi kupuliza rangi kusukuma oxygen kwenye migodi na kusafishia madini kwa maelezo zaidi piga...
Hotbelt season 2
Pata mikanda ya kupunguza na kuondoa kabisa kitambi kwa asilimia 97.
Imetengenezwa kwa latex ambayo inafanya usweat hivo kubutn mafuta. Material yake ni kama nguo ivo unaweza...
Ni vile vilivyobora kabisa na salama, vilivyosajiliwa na kuruhusiwa na mamlaka ya chakula na dawa Tanzania.
Nitakuletea chochote na sehemu yoyote utakayotaka, Dar es salaam au nje ya Dar es...
TUNAWEZA learning centre tunatoa huduma ya kujifunza kiingereza (English course ) kwa watu wazima.
Tunapatikana Mbezi Africana na muda wa masomo ni jioni saa 11 mpaka saa 1, kuanzia jumatatu...
Habarini wakuu.
NAHITAJI chumba kimoja cha kupanga Bagamoyo MJINI.
Kiwe MAENEO ya KARIBU Na shule ya sekondari ya EAGLES,
Kiwe Na umeme Na MAJI yapatikane.
Nyumba husika isiwe Na WATU WENGI Na...
natafuta bidhaa tajwa hapo juu kwa ajili ya Sony Home Theater if possible za model DAV-DZ 340. Wire ni za speaker zote 5 pamoja na subwoofer na hata kama mtu anazo za model tofauti nazo poa cos...
Mazda Premacy
Year 2004
colour Grey
7 seaters
cc 1990
petrol
motorvehiacle valid
insurance valid
full importation documents
DVD player with LED TV
spear tyre with all necessary tools
PRICE 5.5M...
Habari zenu wapendwa, kuna mtu aliweka tangazo kwenye website ya kupatana body ya gari ya Chaser sx80 tatizo hakuweka mawasiliano yake aliweka tangazo tu hiyo body ya chaser sx80 nimeweka na picha...
Wana JF,
Naomba mniunge mkono kunijuza wapi naweza kupata masoko ya ziada.
Katika kujitafutia ajira,nimeamua ku pack Korosho kwa packaging za hali ya juu.Korosho zetu zimetengenezwa kwa ubora wa...
1.Wenye matatizo ya ngozi, nywele, sukari, blood pressure, vidonda vya tumbo, moyo, joint, mifupa, macho, nguvu za kiume, upungufu wa vitamins mwilini n.k
2. Wenye mahitaji ya urembo kiujumla...
Nauza simu blackberry z10 kama kuna mtu anahitaji ipo katka hali nzuri sana bei 300,000 punguzo lipo kwa anayetaka.
Tuwasiliane kwa 0756386179 picha Whatsapp nitamtumia.napatikana mbezi beach...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.