Gari aina ya noah anayeuza

Gari aina ya noah anayeuza

mzee wa magumashi

Senior Member
Joined
Oct 10, 2012
Posts
137
Reaction score
44
natafuta gari aina ya Noah ambalo lilikuwa kweny matumiz binafsi na si daradara

tsh 6.5 ml cash..
mawasiliano
0673609535
 
Asante Mzee wa Magumashi.
Hakikisha ukienda kununua unaenda na fundi wako.
Kuna watu walijifanya kujua walilia,unaweza kujikuta unanunua Body tupu.
Angalizo jingine,wakati unanunua hakikisha kadi ya gari inasoma sawa,na number yaani Serial na Engine Model numbers zipo sahihi.Maana hili nalo mafundi wengi huwa wanasahau.

Jiji la Dar limeharibika sana,sio siri,Tajiri Tapeli,maskini tapeli.
 
Asante Mzee wa Magumashi.
Hakikisha ukienda kununua unaenda na fundi wako.
Kuna watu walijifanya kujua walilia,unaweza kujikuta unanunua Body tupu.
Angalizo jingine,wakati unanunua hakikisha kadi ya gari inasoma sawa,na number yaani Serial na Engine Model numbers zipo sahihi.Maana hili nalo mafundi wengi huwa wanasahau.

Jiji la Dar limeharibika sana,sio siri,Tajiri Tapeli,maskini tapeli.

niko na fundi Wangu kaka
 
Asante Mzee wa Magumashi.
Hakikisha ukienda kununua unaenda na fundi wako.
Kuna watu walijifanya kujua walilia,unaweza kujikuta unanunua Body tupu.
Angalizo jingine,wakati unanunua hakikisha kadi ya gari inasoma sawa,na number yaani Serial na Engine Model numbers zipo sahihi.Maana hili nalo mafundi wengi huwa wanasahau.

Jiji la Dar limeharibika sana,sio siri,Tajiri Tapeli,maskini tapeli.
Hizo ni taratibu ambazo z ishatolewa chief.
 
natafuta gari aina ya Noah ambalo lilikuwa kweny matumiz binafsi na si daradara

tsh 6.5 ml cash..
mawasiliano
0673609535
Unataka noah model gani kwanza?
Mimi nna model ya 1999 na 2002 zote registration #c , ni pm namba yako niku whatsap uzione
 
wew ni middle man au!!

Hili usiulize.
Kuna vitu ukihitaji lazima Dalali apite kati,maana wao wanajua kila kona.
Sio kila mwenye gari anajua pa kuinadi kari yake kwamba anauza,ila dalali ni finders wazuri wa wapi kuna mali na nani mwenye shida ya kuuza mali yake.
Ulaya wanaheshimika sana ila hapa tunawakimbia,
 
Hili usiulize.
Kuna vitu ukihitaji lazima Dalali apite kati,maana wao wanajua kila kona.
Sio kila mwenye gari anajua pa kuinadi kari yake kwamba anauza,ila dalali ni finders wazuri wa wapi kuna mali na nani mwenye shida ya kuuza mali yake.
Ulaya wanaheshimika sana ila hapa tunawakimbia,

SIWATAKI KABIISA MADALALI!
NI WANYONYAJI SANa.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom