habari jf
nakodisha na kuuza blog zangu ambazo zina matangazo ya adsense malipo ni kwa wiki yaani unanilipa asilimia 30 ya kile utakacho pata katika matangazo ya adsense
kwa alie tayari anichek...
FLEVA ni tovuti inayotarajiwa kuzinduliwa mnamo tarehe 01/10/2015 Mwanza Tanzania na inatarajiwa kuhudhuriwa na watu wasiopungua 60 wakiwemo wasanii, bloggers, viongozi wa serikali...
Kuna hivi vigari vidogo mithili ya pick up huwa vipo sana kwenye maduka ya vifaa kwa ajili ya kufanikisha usafirishaji wa mizigo midogo.
Vingi vinatengenezwa na ISUZU au HJET.
Vigari hivyo...
Habari zenu.,natafuta kioo tajwa kilichokuwa kizima kabisa na kisiwe na tatizo lolote.......kwa aliyenacho tuwasiliane ama shuka hapa na bei yako
#0763969066
Hallow wana jf
Nahitaji msaada wenu kama kuna mtu humu anaeweza kunisaidia nikapata nyumba ya national housing jijini dar, yakupanga iwe popote pale
Natanguliza shukrani
Nahitaji Chumba maeneo ya mbagala kuu na maeneo ya jirani bila kutumia third party(dalali). Ni kimoja tu kiwe kikubwa na wapangaji wachache(1 to 2 preferably). Kiwe maeneo tulivu kama butcher au...
Gari lipo Dar es Salaam Kigamboni halina tatizo lolote.
Model Honda CR-V kilometer 100,000 limemetembea
Year 1998
CC 1570
Air bags 2
Transmission auto
Fuel petrol.
BEI 5.6 (MAELEWANO YAPO...
Wapendwa wa dada karibu tutumie Neplily.
Neplily ni pad zilizotengenezwa na cotton material iliyo laini na uwezo wa hali ya juu wa kufyonza uchafu kwa haraka, imewekwa anion plate ambayo imewekwa...
Wakuu habari.
Naomba kujuzwa kwa kiwanda cha nafaka chenye mota 2 moja 40hp na nyingine 50hp nahitaki kununua generator lenye ukubwa wa kva ngapi?
Kindly recommend the best seller in Tz Mob...
Kwa wale wenye tatizo la mafuta usoni yanayopelekea uso kua na chunusi na madoa meusi.
Nauza bidhaa zisizokua na kemikali zinazomaliza chunusi na kuondoa madoa.
Nichek 0672450496
Laptop inauzwa
ni Asus inchi 13.3
in RAM 4GB
HDD 500GB
Processor Core i3 quadcore
OS win 10 genuine
Ipo kinondoni B/Manyanya, Karibu na Dr. Mvungi Hospital
Bei 700,000 TZS
Punguzo dogo litaolewa...
Ina umri wa miaka 10.hiko mia 900,inafa kwa upasuaji wa mbao,bei yake ni m 4.5 adi 5.hiko iringa,eneo la boma la ng'ombe,kilolo,kwa mawasiliano 0712237599.
Habari wadau,
Kuna jamaa yangu kanituma hapa dsm nimuulizie na finaly nimnunulia boss tv ukubwa wa nchi 50 sasa bei zake zimekuwa hazieleweki kitu ambacho kinafanya nisite kumnunulia nisije...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.