Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.

On JF:

Mashine ya kupigia tofali na vibao vyake viko 500 inauzwa, inatoa tofali moja la 5.5", ina mwezi mmoja tangu inunuliwe na imefanya kazi mara mbili tu. Bei 885,000 Neg. niPM tufanye biashara
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Ni nyumba kubwa ya vyumba 3, dinning, sitting kubwa,uwa mpana,fence na geti,eneo limepimwa iko jiran na Nganza secondary hapa nyegezi Mwanza anaehitaji bei ni milion 45 tuwasiliane kwa 0788752672
0 Reactions
2 Replies
3K Views
we prepare books of accounts, financial statements, VAT returns and business plans. call 0672 259 395 or 0782 237 212
1 Reactions
1 Replies
964 Views
Lipo kisemvule ni ekari 36 karibu na kiwanda cha cement cha rhino lipo mita chache from main road inayokwenda mkuranga interested buyer unakatibishwa just PM
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Kiwanja kina ft65 kwa ft95. Bei naanzia 8m. Karibuni.
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Habari ya leo waungwana. Natumaini wote mu wazima wa afya na mko poa katika kusukuma maendeleo ya Taifa letu pendwa Tanzania. Bila kuchoshana. Kama tunavofahamu kumekuwa na ongezeko kubwa sana...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Kampuni ya Edmark kutoka Malaysia inamakao makuu Masaki Dar es salaam Tanzania.Inajihusisha na uuzaji wa bidhaa za afya (food supplement) ambazo ni asili na zimethibitisha na TFDA. Kampuni inatoa...
0 Reactions
2 Replies
3K Views
Jifunze computer application na utafatwa mahali ulipo na itaendeshwa katika siku za week end! charges zetu ni bei nafuu! +255719909267
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Habari, Nauza kiwanja kipo Korogwe mjini maeneo ya kwam'mbo karibu kabisa na magunga hospitali, kiwanja kina msingi wa mawe vyumba vinne na michungwa kadhaa, kina ukubwa wa robo heka bei tsh 2.7...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Wakuu natumaini mu-wazima, Nahitaji kununua used mables kwa ajili ya "viji-ujenzi" vyangu hapa mjini Arusha. Kama unazo au unafahamu wapi naweza kupata, tafadhali nijuze.
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Plot at Kitunda Magore kwa Mpemba. Sehemu imetulia. Viwanja vimepimwa kienyeji kwa kuzingatia miundo mbinu yote especially barabara zenye upana wa 5Meters. Vyote kwa pamoja vina ujazo wa 30 X...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Specs; iSO 7.1, 16 Gigs, Black color, clean unlocked IMIE and open iCloud. A few scuffs on the front screen, like new on the back. Offer: Tsh 250,000/- PM for contact!
0 Reactions
0 Replies
655 Views
Habari wakuu, Natafuta Chumba chenye umeme na dari maeneo ya mbagala Kuu, butcher, mgeni nani na neluka na maeneo ya karib yenye utulivu. Budget range ni 25k to 35k per month.thanks!
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Viwanja vinauzwa bomangombe hai mini Vipo sehemu nzuri za makazi Bei maelewano Tuma SMS kwa 0768807475 Text viwanja utapigiwa kwenda kukagua
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Nyumba inapangishwa Tabata Bima... ni kubwa ya familia... 1: Room 4, moja master 2: Ina fence, umeme na maji, geti linahitaji marekebisho madogo ..pia rangi ya ndani itarudiwa... 3: Usalama wa...
0 Reactions
9 Replies
1K Views
Naombeni msaada natafuta tairi Za Michellin 445/80 R 25 Very urgent, nimewacheki BinSlum na Superdoll naona hawana Please mail 255786485243
0 Reactions
0 Replies
844 Views
Nauza Bajaji Piaggio APE,imetumika mwaka mmoja,bado iko vizuri sana.Serious buyer anicheck
0 Reactions
1 Replies
1K Views
habari wadau Yeyote mwenye expeience na aina hii ya gari naomba unisaidie pro and cons zake Asanteni sana
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Habari zenu wote. Mganga wa mapenzi anahitajika haraka kutoa msaada kwa jahazi linalozama katika mahusiano yangu na mchumba wangu. Mchumba wangu kabadilika ghafla kiasi kwamba hataki hata kuniona...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…