Kiwanja kinauzwa bunju a (kinondo) kina ukubwa wa miguu 29 kwa 25 bei maelewa ni changu mwenyewe kwa anaye itaji tuwasiliane kwa namba 0713-437713 Karibuni.
Salaam wana JF
Ninauza viwanja vya makazi, vipo eneo la mjimwema mtwara mjini
Eneo ni zuri sana na ni tambarare. Bara bara zimeshachongwa, hakuna umeme, hakuna maji
Viwanja ni sqm 450 (15 kwa...
Wadau nauza Rims na Tairi zake za BMW X5 ni Size 19" Pamoja na Taa za mbele na nyuma Complete. Vyote ni kama vipya bei chee. Rims 4 na Tairi 4. nauza 1300000. Taa zote mbele na nyuma Complete...
Andrew anamiliki Shamba/Ardhi ilililosajiliwa lenye Ekari 23. ,Lipo Mkoani kilimajaro Maeneo ya Chekereni.
Kama unahitaji kununua linauzwa.
Ama kama unahitaji kukodi kwa matumizi mbalimbali Iwe...
Wadau nauza Rims na Tairi zake za BMW X5 ni Size 19" Pamoja na Taa za mbele na nyuma Complete. Vyote ni kama vipya bei chee. Rims 4 na Tairi 4. nauza 1300000. Taa zote mbele na nyuma Complete...
Tupo Kariakoo Dar. 130 Uhuru St mkabala na Benjamin Mkapa School. Karibuni. Wasiliana nasi k2a namba zifuatazo 0719669494 au 0655038808 au sales@alfaqeeinvesment.com. angalia picha k2a maelezo...
kwa wale wataalamu wa biashara naomba ushauri nataka kuanzisha biashara ya kianzio cha shl laki 3 kushuka. Biashara ipi inayofaa na yenye faida ya haraka?
Natafuta shamba la kupanda miti Njombe au mufindi. Naomba nitumie bei ya shamba na sehemu shmba lilipo. Lisiwe mbali sana na barabara.
Maximum ekari 200..
Asanteni.
Nyumba ipo kwenye lenta ni ya kupauwa, bei 15ml , room mbili za kulala, choo, chandani na cha nje. Sebule na jiko kiwanja ni 20mt x 12 mt kunna umeme na maji, kwa anaehitaji ani pm
Habarini wakuu.
Nina mil 8 wadau nahitaji gari zuri aina ya toyota na lianzie namba C nipo Mbeya ila mwenye nalo popote TZ tuwasiliane humu JF au whatsapp
0753255844.
Body ya gari iwe kama mpya...
Nauza kiwanja kipo mbezi msumi eneo la goba mpakani na ni karibu na shule ya msingi goba mpkanai au Tegeta A. Kina ukubwa wa mita 20 kwa 20 (sqm 400) na panafikika vizuri pia ni tambarare. Bei ni...
Ni mpya kabisa, ina kila kitu,pluss secreen protector ya glass,pluss cover.
Ina wallanty miaka miwili na warranty ipo.
Ni 520k, kama upo serious kwa wakaz wa DSM, nicheki kwa
0713 190 118.
Hello friends,
Mimi ni freelance Web & Graphic designer, natafuta ofisi inayofanya shughuli kama hizo tukubaliane uwezekano wa kuwa na kiti/dawati langu ambalo nitakuwa nikifanyia shughuli zangu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.