Nyumba inapangishwa, Tabata Bima, room 4, ina fence, umeme na maji

Jay One

JF-Expert Member
Nov 12, 2010
18,007
19,709
Nyumba inapangishwa Tabata Bima... ni kubwa ya familia...

1: Room 4, moja master

2: Ina fence, umeme na maji, geti linahitaji marekebisho madogo ..pia rangi ya ndani itarudiwa...

3: Usalama wa uhakika, kumetulia hakuna vumbi, vibaka au udokozi

Bei tshs. 250,000 tu kwa mwezi... tunapokea miezi 6 na kuendelea... hakuna bei kupungua.. hakuna dalali..

Karibuni
 
Nyumba inapangishwa Tabata Bima... ni kubwa ya familia...

1: Room 4, moja master

2: Ina fence, umeme na maji, geti linahitaji marekebisho madogo ..pia rangi ya ndani itarudiwa...

3: Usalama wa uhakika, kumetulia hakuna vumbi, vibaka au udokozi

Bei tshs. 250,000 tu kwa mwezi... tunapokea miezi 6 na kuendelea... hakuna bei kupungua.. hakuna dalali..

Karibuni
nipe mchongo wa chumba sebule ananasifu kinondoni
 
Nyumba inapangishwa Tabata Bima... ni kubwa ya familia...

1: Room 4, moja master

2: Ina fence, umeme na maji, geti linahitaji marekebisho madogo ..pia rangi ya ndani itarudiwa...

3: Usalama wa uhakika, kumetulia hakuna vumbi, vibaka au udokozi

Bei tshs. 250,000 tu kwa mwezi... tunapokea miezi 6 na kuendelea... hakuna bei kupungua.. hakuna dalali..

Karibuni
Weka namba za simu tufanye biashara fasta.
0756041410 whatsap tu usipige utapoteza muda wako
 
Hii haiko kwenye list ya zile zilizopigwa X ?

Iko salama kabisa... haiko ktk X list... na sehemu tulivu, hakuna vumbi, wala uhuni.. mpangaji kaondoka 2 weeks ago... ndio sasa tunamtafuta mpangaji mwingine... hakuna dalali.. so karibuni... maji, umeme, fence.. rangi ya ndani ni kurudia siku 2 tu tayari...
 
Weka namba za simu tufanye biashara fasta.
0756041410 whatsap tu usipige utapoteza muda wako

Nimekutumia what's up texts...

Karibu sana... nyumba nzuri ya familia.. bei poa kabisa.. hakuna dalali...
 
Back
Top Bottom