Kama tangazo linavyosema ninauza TV aina ya Samsung Inchi 21 ni kama mpya tu na bei ni laki mbili nanusu na mazungumzo yapo.. Nicheki kwneye namba hii 0712220207
P { margin-bottom: 0.08in; }
Tangazo - tangazo
Kiwanja kinauzwa
Kipo Goba wilaya ya Kinondoni Dar es salaam
Kipo karibu kabisa na barabara kuu inayounganisha mbezi ya KImara na Mbezi beach...
Naiuza tsh 240000/= tu.
Internel memory 16 GB
RAM 1GB
Camera: 16 Megapixel Rear
8 Megapixel front
Display Screen inch 5.5 HD
No scrach, no dents
Used for 3Months only
Sababu ya kuuza nabadili...
Ndugu zangu natafuta nyumba ya kupanga Morogoro iwe na sifa zifuatazo;
vyumba viwili na sebure
Choo ya kujitegemea
Jiko la kujitegemea.
Kuwe na maji
Nyumba iwe maeneo ya Forest hill karibu na moro...
Kama tangazo linavyosema ninauza TV aina ya Samsung Inchi 21 na ni flat kwa mbele bei ni laki mbili na mazungumzo yapo.. Atakae kuwa intrested namba hii hapa 0712220207
Habari wanajamvi,nina dharura ya kifedha so ninauza simu zangu tajwa zote zikiwa katika grade "A" condition. Kama uko serious unahitaji then nitafute kwa ajili ya picha na maelewano.
Nokia Lumia...
Viwanja viwili Vinauzwa vipo Ununio Beach/Mahaba beach.
Vina ukubwa wa sqmt 1300 kila kiwanja. Vipo karibu kabisa na Bahari (Plot ya 3 kutoka beach)
Vyote vina hati.
Price: Tshs 200m
Contact...
Ninataka kuanza mradi wa kufuga kuku wa mayai ninatafuta mtaalamu anayejua naman ya kulisha na kujenga mabanda yao. Naomba awasiliane nami kwa no.0713 68 96 65
Wakuu kwenda. Kuna jamaa yangu amenipa tenda ya kusfirisha mizigo Mingi ya kwenda Congo Rwanda Zambia. Pia Nina mizigo ya local Mingi tu. Kwa atakayehitaji kazi Tume email kwenda raiatz@yahoo.com...
Siku hizi kuna magonjwa ya ajabu sana ambayo zamani hayakuwepo,, mfano BAWASILI (kuota nyama sehemu ya haja)ni tatizo linalosumbua wengi mpaka wanashindwa hata kutembea .na sasa kuna wanawake...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.