Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.

On JF:

Procedure ni rahisi kabisa 1.Tembelea website ya Sbtjapan.com 2.Chagua gari 3.Note stock ID ya hiyo gari ulochagua 4.wasiliana nami kwa (0719215909) ili nikupe utaratibu wa kuweza kuipata...
0 Reactions
7 Replies
2K Views
Habari wakuu, Pagala (nyumba isiyokamilika), ipo katika hatua ya kufunga lenta(bimu) ni mpya kabisa imejengwa mwezi November 2015. Ina vyumba 3 master moja, sebule, choo cha wote, jiko na stoo...
0 Reactions
10 Replies
2K Views
Wadau, natafuta vitz nina mil 5
0 Reactions
6 Replies
1K Views
kwa yyt mwenye ist No C au D inahitajika haraka.kwa waliopo daresalam tu. Piga cm namba 0713129049
0 Reactions
6 Replies
1K Views
Kwa mahitaji ya kurekebisha Computer...kama haiwaki au ipo slow,Ku install Windows xp,7,8,10 au Apple OS.Data Recovery za flash memory cards pamoja na Harddisk. Ofisi ipo kariakoo mtaa wa...
0 Reactions
16 Replies
2K Views
Nauza simu hiyo, ni nyeusi iko kwenye hali nzuri sana. Specs zake kwa ufupi ni kama ifuatavyo: · Quad core 1.5ghz processor · 5 inch full HD screen (1920*1080) resolution at 441...
2 Reactions
17 Replies
8K Views
THE FREELANCING WEB DEVELOPER IS AVAILABLE WITH CODING EXPERIENCE IN HTML5,PHP,CSS3,JQUERY..I CAN DEVELOP THE FOLLOWING WEB SOCIAL MEDIA E COMMERCE REAL ESTATE MEDIA WIKIS...
1 Reactions
1 Replies
822 Views
Tigo pesa 200,000 Mpesa 150,000 Airtel money 80,000
0 Reactions
7 Replies
1K Views
Habari wana jukwaa, Napenda kuwataarifu kuwa kupitia kampuni ya Kalahari International, tunafunga CCTV camera za kisasa na teknolojia ya kisasa kabisa kwa bei nafuu. Ofisi zetu zipo DSM na...
0 Reactions
0 Replies
934 Views
KARIBU PG BUTCHERY Pata Huduma ya Nyama nzuri, Samaki (Sato, Sangala), Maini, Nyama ya kusaga, Sausage katika Bucha yetu iliyopo Maeneo ya Ukonga Banana - RELINI kwa Mkorea. Bei zetu ni nafuu...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
TANGAZO Abeti Schools Inawatangazia nafasi za masomo kwa kidato cha kwanza mwaka 2016 na nafasi za kuhamia kidato cha pili hadi cha nne kwa mwaka 2016. Vilevile inawatangazia nafasi za kujiunga...
0 Reactions
4 Replies
5K Views
Hii ni program maalumu inayoendeshwa kupitia ukurasa wa WHATSAPP, Program hii ilianzishwa December 15,2015,ikiwa na lengo la kuelimisha jamii juu ya utumiaji lishe salama na kupunguza uzito wa...
0 Reactions
0 Replies
909 Views
Habari zenu wakuu, Nauza nondo za Tanzania kwa bei ya jumla. Zote plain na machale. Size kuanzia 10mm mpaka 20mm. Bei Tsh 1,290,000/=kwa tani. Wakazi wa dar usafiri wa bure upo mpaka site...
0 Reactions
0 Replies
5K Views
Mliopo Dar es salaam tafadhali nifahamisheni mahala ninapoweza kumnunulia mzee wangu aina ya Air conditioner inayotumbukizwa dirishani [box type] na bei zake huko bongo!
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Tafadhali, natafuta hii Filamu ya Kunta Kinte. Mwenye nayo naomba tuwasiliane.
0 Reactions
3 Replies
8K Views
Wadau nauza Note 3 imetumika kidogo...Nyeusi.Inabox lake.Bei ni laki 4.5.Karibuni.0689900000
0 Reactions
0 Replies
593 Views
Salaam...nauza DVR machine ya chanel 8 na camera zake 8(infrared)..DVR inaplay CD na USB.Internal memory kubwa sana pia.Nilikua nimeifunga mahali sasa nimeifunga. Bei ni laki 8...Mawasiliano...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
hii iliwekwa kwenye mambo ya ughaibuni wakti ni tangazo.Nimepiga simu jamaa wanasema kuwa inawezekana hii shughuli ikaahirishwa kwani watu wamekuwa wengi kuliko walivyotarajia sasa sijui...
0 Reactions
2 Replies
3K Views
Kama wewe una line za huduma hizo na hujui wapi ufanyie biashara hiyo, mie ninamiliki stationery Kinondoni na biashara ya Miamala ya pesa kwa mitandao wapo wateja wengi ila mimi sina mtaji wa...
0 Reactions
10 Replies
2K Views
Dell Laptop: Core i3 / 500 GB / 4 RAM / DDR 3 / 15.6" / Windows 8.1). Bei Tshs laki 5. Software installed: Microsoft Office 10 / Adobe Creative Suite CS6 / Xampp, Filezilla & WordPress Call...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Back
Top Bottom