Natafuta iPAD ya apple

Natafuta iPAD ya apple

jiwekuu770

JF-Expert Member
Joined
Feb 12, 2015
Posts
2,246
Reaction score
1,646
Natafuta iPad ya apple kwa yyte anaeuza anicheki tufanye biashara
 
iPad ya apple ndio nini mkuu? au tablet aina ya iPad inayozalishwa na apple?
 
Sasa nimekosea nn !! Natafuta iPad !! Tablet za apple znaitwa iPad sasa mbona mnashangaa
 
Mimi ninayo ipad 3, used toka Brazil. Na mimi nimeitumia wiki 2 tu. Haina tatizo lolote. TZS 400,000 nakuachia. Naiuza kwa sababu nimechagua kutumia tablet ya windows. Nililetewa 2
Nipo Mwanza
 
Sioni tatizo na uandishi au kwasababu kaiweka kiswahili ndio inaonekana si sahihi?

appe.JPG
qwer.JPG
 
Mimi ninayo ipad 3, used toka Brazil. Na mimi nimeitumia wiki 2 tu. Haina tatizo lolote. TZS 400,000 nakuachia. Naiuza kwa sababu nimechagua kutumia tablet ya windows. Nililetewa 2
Nipo Mwanza
Weka contact niicheki kaa tunaweza Fanya biashara
 
Back
Top Bottom