GREGO JF-Expert Member Joined Apr 3, 2014 Posts 4,282 Reaction score 2,936 Feb 28, 2016 #1 Mashine ya kupigia tofali na vibao vyake viko 500 inauzwa, inatoa tofali moja la 5.5", iko Dar, ilitengenezwa TDTC pale UDSM, iko imara sana. Kwa bei ni 800,000 (Maelewano yapo) niPM tufanye biashara.
Mashine ya kupigia tofali na vibao vyake viko 500 inauzwa, inatoa tofali moja la 5.5", iko Dar, ilitengenezwa TDTC pale UDSM, iko imara sana. Kwa bei ni 800,000 (Maelewano yapo) niPM tufanye biashara.
Barraza JF-Expert Member Joined Oct 10, 2011 Posts 481 Reaction score 270 Feb 28, 2016 #2 Ni mashine ya manual au ya engine? Kama ni Engine; je ni Engine ya mafuta au ya umeme?
GREGO JF-Expert Member Joined Apr 3, 2014 Posts 4,282 Reaction score 2,936 Feb 28, 2016 Thread starter #3 Barraza said: Ni mashine ya manual au ya engine? Kama ni Engine; je ni Engine ya mafuta au ya umeme? Click to expand... Ni manual mkuu Ila ISHAUZWA
Barraza said: Ni mashine ya manual au ya engine? Kama ni Engine; je ni Engine ya mafuta au ya umeme? Click to expand... Ni manual mkuu Ila ISHAUZWA