TANGAZA MARKETING SOLUTIONS:
Mahitaji: Hostel ya kisasa kwa wanafunzi n.k ipo sinza mapambano karibu na barabara.
Elfu 80,000/= per month, maji Massa 24, Dstv k)
Kodi mwaka hadi miezi 6
Hujadadavua vizuri mkuu bei hiyo ni ya mtu mmoja kumiliki room au kwa kitanda kimoja na kama room ni shared ina vitanda vingapi?hiyo dstv ni kwenye pool ndio imewekwa au kila room imeunganishwa na dstv link so ni mpangaji kuwa na Tv set au anaikuta.Uzi poa jazia nyama kidogo ili wahitaji tupate mwanga
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.