I Currently work for a company that sends out a 3-4 High Quality! trade Alerts on a daily basis to its registered members and only a few minutes a day is required to manage and execute the trades...
Galaxy Note 5
Dual Line
32GB Storage
4GB RAM
Black Saphire Color
In Excellent Condition
With box and all original accessories
Price: TShs. 1,200,000
Call 0759 777194
Mwenye mawasiliano nae naomba, Kuna Trey za mayai zaidi ya 300 kwa wiki alikua anahitaji, pia kwa yeyote atakaye atakaye hitaji mayai trey kianzia 150 kwa wiki a wasiliana nami kwa 0713415537...
Habari yenu JF members,
Tunatafuta wateja wa jumla wa samaki wabichi aina ya sato na sangara kutoka Mwanza. Sangara wanaukubwa wa kuanzia 50cm na Sato 25cm.Sangara 1kg pamoja na usafiri Tshs 6000...
Habari wanaJF, natoa ofa kwa watu wanaojishulisha na mambo ya sherehe kama mc,mapambo,mavaz,mapishi,saloon,kadi,ukumbi,usafiri n.k. Natoa ofa kwa kuwatangazia kwenye website bure ndani ya miezi...
tunauza pc 20 za milango ya security doors ya chuma, hauitaji kununua milango ya chuma na mbao pamoja,Ni milango ya kisasa zaidi ,na mizuri sana, kwa mawasiliano contact whatsaap 0713 95 92 90 or...
habari wa JF leo nimekuja na biashara nauza blog yangu adress yake ni hii www.swahili-news.com imetembelewa na watu zaidi ya 25000 bei ni poa Tsh 45000 imeshatengenezwa muonekano bomba wasiliana...
Hello guys,
Tafadhari kuweni makini Sana, kuna jamaa hua ana post bidhaa za Electronics kama Laptops na Mobile phone's za aina tofauti tofauti na kutangaza kuziuza kwa bei chee.
Anasema yupo hua...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.