Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.

On JF:

Kwanza Ahsante uongozi wa JF kwa kunikubalia akaunti yangu. Mimi ni Freelancer Wakala karibia mitandao yote. Ukiwa na tatizo usihofu tupo kwa ajili yako! Au utapiga namba 100 kwa msaada zaidi...
0 Reactions
7 Replies
6K Views
Nauza dell intel core2 duo. Processor 2.6ghz. Hdd 250. Ram 2gb . Ni portable CPU tu bei 110,000 maelewano yapo offer ya DSM tu.
0 Reactions
16 Replies
3K Views
TANGAZA MARKETING SOLUTIONS: Gari aina ya CARIB inauzwa Cc 1200 Namba B Ipo condition nzuri Bei ni tshs 4 million mpaka million 3.5 mwisho. Kama upo teyari njoo nafundi wako ahakikishe mwenyewe...
0 Reactions
0 Replies
3K Views
Ukubwa nusu heka au 2000sqm Kama unalo unaweza kunicheki kwa 0715060183 kwa mazungumzo na bei zaidi
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Iwe na graphics mbili at least pia screen touch, ram 8 HDD 1Tb bajet yang ni mia 900 hadi 1m.
0 Reactions
11 Replies
2K Views
Nyumba ya vyumba vinne inauzwa mikocheni B karibu na kanisa la Assemblies of God. mawasiliano piga simu namba 0755 092 734 au whatsapp 0754 810 853 bei maelewano
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Ziwe ndogo(slim),ziwe zinacheza flash,ziwe katika hali nzuri.0658327429 dsm
0 Reactions
1 Replies
638 Views
Nahitaji fundi wa kunitengenezea banda la mbwa kama hili hapa. Fundi awe anatoka maeneo ya Hong la mboto, Pugu Kajiungeni au Kigogo fresh.
0 Reactions
0 Replies
4K Views
Shamba linauzwa lipo katika Kijiji cha Mtakuja-Kiwangwa. Lina ukubwa wa Ekari 35. Lipo umbali wa km 4 kutoka barabara kuu itokayo Bagamoyo -Msata. Limepandwa mitiki na miembe Bei ni Tsh milion...
0 Reactions
1 Replies
869 Views
Habari naomba mnijuze cmu bora ya tecno yenye 4g na ina camera nzuri
0 Reactions
4 Replies
3K Views
Mbweni JKT mita 400 kutoka baharini. Sqmt 1550. Hati ipo Price: Tsh 100m contact: 0756 178 494
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Hard drive mpya 4T ya sata inauzwa imefunguliwa kwa ajili ya kutestiwa tu bei 300k unaweza nicheck hapa 0655090000
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Nauza samsung galaxy note 4 mpyaaaaaaaaaaa Unaimenya mwenyewe kwenye maganda yake na boksi lake Ntafute kupitia 0758728258 Specification Cpu-(octa core(1.9ghz quad core + 1.3ghz quad core))...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Habari wana jamii forum, Natumain wote mu wazima wa afya. Kwa wale wote wapenzi wa riwaya za BEN R. MTOBWA, sasa vitabu vya kipelelezi vya JORAM KIANGO vimekufikia. Vitabu vyote vinauzwa kwa bei...
0 Reactions
0 Replies
3K Views
Nauza samsung s4 newly condition Internal-16gb Ram 2gb Camera-13 mpx Bei -330000 no.0659116111
0 Reactions
0 Replies
601 Views
Tunauza viatu hivi vya ngozi.. Ni imara ni ngozi halisi.. 25000/= rejareja na jumla 19000/= kuanzia piece 10.... Poch zimebaki hizi tu, bei ni 45000/= kwa hiyo ya kijivu na 35000/= kwa hiyo...
0 Reactions
2 Replies
3K Views
Ndugu zangu Nina MBAO ngumu Kwa atakayehitaji naomba tuwasiliane, bei ni nafuu ukichukua MBAO zaidi ya 50 usafiri juu yetu, tutakuletea hadi mahali ulipo kwa wakazi wa Dar tu. Mungu awabariki sana...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Wasiliana na 0755344461 kwa wanao hitaji, bei 2 millions
0 Reactions
10 Replies
4K Views
Kama tangazo linavyosema ninauza TV aina ya Samsung Inchi 21 ni kama mpya tu na bei ni laki mbili nanusu na mazungumzo yapo.. Nicheki kwneye namba hii 0712220207
0 Reactions
4 Replies
2K Views
P { margin-bottom: 0.08in; } Tangazo - tangazo Kiwanja kinauzwa Kipo Goba wilaya ya Kinondoni Dar es salaam Kipo karibu kabisa na barabara kuu inayounganisha mbezi ya KImara na Mbezi beach...
0 Reactions
15 Replies
1K Views
Back
Top Bottom