Waungwana nahitaji laptop Nzuri USED yenye minimum specs Corei5 iwe clim 14'' abayo iko kwenye hali nzuri second hand kutoka nje. kama kua anaejua wapi naweza pata huko Dar
Merci mingi
Habar zenu naomben mnisaidie kuniambia review class kwa ajili ya ATEC I & II ikiwepo maeneo ya posta,kariakoo ndo itakuwa fresh zaidi. Tafadhali nisaidien. Ahsanteni.
Kwa maelezo ya kina, simu zetu na anwani tembelea tovuti yetu: www.tepu.co.tz
Ofisi kuu yetu iko katika jengo la Tepu House, Uganda Road, Kiwanja Na.45 kitalu MDA, Manispaa ya Bukoba.
Kwa...
Habari wana JF,
Huu ni uzi maalumu kwa ajili ya mambo yahusuyo masuala ya biashara,humu tutapeana mbinu mbalimbali za kibiashara ili uweze kufanikiwa na kuifanya biashara yako kuwa imara na...
COMBINE HARVESTER INAUNZWA
Tunauza mashine ya kuvunia nafaka tofauti (COMBINE HARVESTER) ipo imara sana na inafaa sana kwa mazingira ya hapa kwetu, inaweza kuishi muda mrefu na ni simple sana...
Iko kimara temboni njia ya kuelekea saranga,nyumba hiyo Ina ngaliana na barabara ya lami...
Eneo hilo panafaa Sana kuwekeza dispensary maana ktk eneo hilo hakuna huduma hiyo,
Nyumba hiyo Ina...
Kama habari inavyojieleza ......imetumika miezi miwili tuu....sifa ni hizi hapa ina ukubwa wa 8inches.
RAM1.5GB,16GB HDD ni white na condition haina tofauti na mpya.Price ni 500000/= njoo tufanye...
salaam nimefanikiwa kuandika kitabu chenye jina "akipatikana nafuu" lakini sikuweza kufanikisha kukiendeleza, taratibu za awali za kukifanya kitabu kutumika kama riwaya ya kufundishia...
Nauza Toyota hilux, 2.8. Inatumia 2.8 liters 3L diesel engine. Iko katika hali nzuri na iarecords nzuri za service. iko Tegeta Dar es salaam.rangi imebadilishwa toka nyeupe na kuwa grey. Bei ni...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.