dalaliwangu
Member
- Feb 24, 2016
- 36
- 1
Nyumba yenye vyumba vitatu vya kulala, sebule kubwa, chumba cha chakula, jiko, selfcontained inapangishwa maeneo ya Sae, Mbeya, kwa kodi ya Tshs. 400,000/= tu kwa mwezi. Ina nyumba ya uwani yenye vyumba chumba sebule, na choo. Ni nyumba mpya.
Kwa mawasiliano, wasiliana nami kwa simu namba 0754060350,0716252818.
Nyote mnakaribishwa!!!!!!!
Kwa mawasiliano, wasiliana nami kwa simu namba 0754060350,0716252818.
Nyote mnakaribishwa!!!!!!!