Nyumba inapangishwa, Sae, Mbeya

Nyumba inapangishwa, Sae, Mbeya

dalaliwangu

Member
Joined
Feb 24, 2016
Posts
36
Reaction score
1
Nyumba yenye vyumba vitatu vya kulala, sebule kubwa, chumba cha chakula, jiko, selfcontained inapangishwa maeneo ya Sae, Mbeya, kwa kodi ya Tshs. 400,000/= tu kwa mwezi. Ina nyumba ya uwani yenye vyumba chumba sebule, na choo. Ni nyumba mpya.

Kwa mawasiliano, wasiliana nami kwa simu namba 0754060350,0716252818.

Nyote mnakaribishwa!!!!!!!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom