Wakuu ninahitaji Toyota passo haraka Sana ya kununua.
Kwa alieko arusha itakuwa bora zaidi,,offer yangu ni 5.5mil.ikinivutia zaidi offer itaangaliwa.kwa mawasiliano tuma msg kwenda no 0715803577
Inauzwa computer full aina ya HP
Ina sifa kama zifuatazo
Intel(R) Pentium(R) D CPU 3.40GHz
3.39GHz,1.23 GB of RAM
580 GB of HARD DISC
Bei ni kuanzia laki tatu 300,000 na maelewano yapo
kwa...
Ni Laptop Aina Ya Gateway,Windows 8,Ram 2 Gb,Hard Disk 149 Gb,32 Bit. Nzuri Kwa Wale Ambao Hawana Matumizi Makubwa Ya Pc,Wale Wenye Matumizi Ya Kawaida Kama Kutype Au Kuangalia Movie Kusikilizia...
Inasemwa asie mwana abebe japo jiwe,kesho katika uwanja wa Kibanda uhai au kibanda maiti kama kilivyokuwa kikijulikana hapo zamani kutafanyika mkutano mkubwa wa aina yake ,waandalizi wa mkutano...
Viwanja vinauzwa viko moshono ,metre 60 kutoka barabara ya moshono chekereni bei ni 14million ,ukubwa ni 20 kwa 20,please call this number for more details 0755869361 au 0782145757
Karibu uwezeshwe kuondoa Chunusi, Makunyanzi, Ngozi yenye rangi zisizopendeza, Madoa, Makovu ya Chunusi nk Kwa uhakika na ndani ya muda mfupi.
Tunapatikana Ilala na Upanga, Dar es salaam...
Tecno L5.
Bado mpya ina kila kitu chake original -earphones, charger, cable ya kuchajia simu nyingine(battery yake ina nguvu sana) pamoja na risiti.
ram 1gb bei ni 140,000 tu. WAHI SASA
Habari za Leo Wakuu,
Hope Mpo Salama.
Nnahitaji Desktop Computer (Complete) yenye hali nzuri angalau Ram 2, hdd 120, processor 2.0 kwenda juu.
Budget iliyopo ni Tsh Laki 2, Yaweza ongezeka...
Happy sunday..
Wakuu ni kama msaada tu! Baada ya kuona mtaji ninao mkononi. ninaomba mtu mwenye desktop used...
Nitampa cm yangu Huawei 330 na 40000 cash.
kama unaweza kunisaidia ni pm.. Pesa...
Mada inajieleza,natafuta gari kati ya hayo matatu bajeti milioni 6 fixed iwe Namba C/D kilometre chache haijapata ajali wala kupakwa rangi.
Kama una gari tofauti na hiyo eleza ubora wake cc na...
FURSA! FURSA!
Plot inauzwa SINZA MORI INATIZAMA SHEKILANGO ROAD,UKUBWA METER SQUARE 900.
INA NYUMBA YA KUISHI, FREMU ZA BIASHARA NA BAA UPANDE WA BARABARA. Imepimwa na ina hati.
Jaman fursa...
Habari ndugu zangu,
Natoa factory unlock services kwa mobile phones, kupata bei na muda simu yako kuwa unlocked itachukua nimeweka hapo. Kwa walio Dar utanilipa baada ya kuwa nime-unlock simu yako...