Wakuu Ina vyumba 3 vya kulala, sitting room kubwa ya kuweka sofa seti mbili, dinning, jiko Na store, public toilets, nje Ina Caro kubwa la maji, miti mingi migomba Na michungwa na moembe ya kisasa...
Wakuu ninahitaji mkopo wa riba 25% kwa miezi 3 tu, nitarejesha yote bila kikwazo kwa sababu issue ninayotaka kufanyia iko researched na imepimwa haswaaaa..... mwenye utayari anipigie 0754459572...
Habari wadauu
Tafadhalini natafuta machine ya kufyatua tofali za kuchoma kwa yoyote anayefaham naweza kupata wapi ama shirika, ngo na kwa bei gani?
Tofali za kuchoma na sio Hydro foam...
Kwa yeyote ambae anauza vifaa vya saloon in generally ukijumuisha machine na vingnevyo uwe mwanza tuwasiliane directly 0758323543, 0674743890 fall me in box ili turahisishe zoez.
Nimefunga duka la vifaa vya umeme na ujenzi. Nauza vitu vilivyokuwepo kwa bei ya chini Zaidi ya wholesale kariakoo. Vitu kama switchs, bulbs, tube n fittings, vitasa, main switch,sink za Choo...
watu wangu wa nguvu natumaini mambo yenu salama
wadau team tecno natumiani wazima nyie, sisi tunaenjoy mambo ya kwenye simu za milioni kwa kulipia laki zetu kadhaa, tecno inavyonipa raha...
Hi cobbers,
bought brand new iMac and now I guess its time to sell
27" (really big screen),
iCore 7,
Ram 16Gb (2 slots to add more)1333MHz DDR3,
software OS X 10.9.5,
Graphics ATI Radeon HD...
Ni saa ya alarm ambayo imefungiwa camera iliyofichwa kwa ajili ya kupeleleza au 'Spying'.Inauwezo wa kurecord na kutunza Video,pia unaweza kuconnect na simu yako ukaona kinachoendelea kupitia simu...
Salaam wadau...tunauza kiwanja kipo bahari beach...opposite na Bahari beach hotel.
Ukubwa ni square meters 8000.Kina hati na hakina tatizo lolote.Bei Mil 650.
Mawasiliano 0689900000 na
email ni...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.