viwanja vinauzwa 25*40 mil 6, 25*22 mil 3 na 22*20 mil 2.5
viko tambarare, vinafikika kwa barabara na umeme uko jirani
(kwa taarifa zaidi piga 0715055577/0769055577)
nauza ipad3 nyeupe 370000hii ipo kwenye hali ya upya bado imetumika kidogo.
GB 16 retina display
wiffi support
haingii line
..Pia ipo ipad3 nyeusi yenye GB64 nauza 450k
piga kwa maelezo zaidi...
Sifa zao
- Wawe PURE BREEDS
- Wawe na umri usiozidi miezi mitano
- Wenye furaha na Afya tele
- Best medical care attention (record documents ziwepo for proof).
Mwenye nao na anayehitaji tufanye...
Habari wana jukwaa
Kichwa cha habari chajieleza,naomba kwa yeyote anayeuza mtungi wa gesi wa kilo 12 aniuzie.
Kama unao ni-pm pamoja na bei unayouza.
Mie napatikana Dar es salaam.
-Pata Digital Camera ufurahie kupiga picha na mpenzi,ndugu,jamaa na marafiki. pia inauwezo mzuri wa ku-record videos
-Brand: SONY (Brand inayoaminika zaidi worldwide)
-Condition: Used (in a good...
BlackBerry z10 inauzwa
Internal memory 16 GB
Camera 13 Megapixels
Front Camera 8 MP
RAM 1 GB
Ipo in very good condition haina tatizo lolote.
Bei 250,000 (Maelewano yapo)
Nipigie/nitext kwenye...
Habarini wanandugu.
Msaada tutani,ninataka kununua au niseme kuagiza gari aina ya BMW series 1 au3. Ninaomba ushauri kwa wenye uzoefu na magari haya yasiyo TOYOTA. Hizi gari zafaa huku kwetu...
Kiwanja kiko Makonde upande wa Bahraini karibu na kumbi za Sunset.
Kina ukubwa wa 1200 sqm, document zote zipo, hakijajengwa.
Bei ni Tzs 250m. Mawasiliano 0655550450.
Kwa wale wapenzi wa vitabu vya riwaya, kitabu chako cha riwaya ya kipelelezi kipo tayari. Mpaka sasa vitabu saba vya mwandishi BEN MTOBWA vinapatikana kwa bei ya shilingi 10,000 kwa kila nakala...
nafundisha graphics na animation:
Programs:
photoshop
illustrator
indesign
animation
maya
after effects
video editing
final cut
adobe premier
nakufundisha kwa vitendo, pia uhakika wa ajira...
PLOT FOR SALE
PLOT SIZE: 572sq
GPS CODES; LAT -3.384321 LNG 36.558426
LOCATIONS:
ENGORORA (Village), KISONGO (Ward), ARUMERU WEST (Province),
ARUSHA (Region), ARUSHA DISTRICT COUNCIL
CLOSE...
Nyumba 3 zinauzwa Mwanza bei 85ml
contact: 0768900863
Ziko katika eneo moja mraba 40 kwa 40 ziko Mwanza nyuma ya kiwanda cha Coca-cola karibu na mnada wa Ng'ombe.
Nyumba kubwa ya kwanza ina...
Nauza samsung galaxy s2 1777 ya kikorea kwa laki na 35..bei haipungui..ina gb 16 na 8 mp..ina betri 2..nipo kinondoni. .kama uko interested nichek 0718864384
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.