Kiwanja kinauzwa Mwanza

Kiwanja kinauzwa Mwanza

jtwentytwo

Senior Member
Joined
Apr 7, 2015
Posts
194
Reaction score
26
Kiwanja kipo maeneo ya bugando karibu kabisa na hospital ya Bugando jijini Mwanza.Kiwanja kimepimwa na kina hati miliki.Kipo karibu na nguzo ya umeme pia kuna njia ya gari hadi kwenye kiwanja.Pia kipo jirani na City Center ya jiji la Mwanza.

Bei ni nafuu kabisa.kwa mazungumzo zaidi tuwasiliane kupitia simu namba hizi:
0768207248
0657137862
 
Bugando kiwanja kitoke wapi? sema unauza eneo.

mkuu hapo juu nadhani nimefafanua vizuri.nimesema ni kiwanja kimepimwa na kina hati miliki.sasa mambo ya eneo yametoka wapi na toka lini eneo likawa na vipimo na hati miliki yake?
 
Hata mimi ninacho kimoja nauza. Kipo makutano ya Samora na Makunganya, bei ni nafuu.
 
braza utatajiwaje bei kitu hujakiona come and see it then maswala ya bagainning yafuate

Mkuu ni vyema mtu akajua kama ana uwezo unaofanana na eneo, ukisema kwa mfano unauza m20 siwezi hata kuja, lakini kama m3-6 at least mtu anaweza hata kukupigia simu
 
kiwanja kipo maeneo ya bugando karibu kabisa na hospital ya bugando jijini mwanza.Kiwanja kimepimwa na kina hati miliki.kipo karibu na nguzo ya umeme pia kuna njia ya gari hadi kwenye kiwanja.pia kipo jiran na city center ya jiji la mwanza.bei ni nafuu kabisa.kwa mazungumzo zaidi tuwasiliane kupitia simu namba hizi:
0768207248
0657137862

Kwa tangazo kama hili utaonekana tapeli tu..wanunuzi makini hawawezi kupoteza muda wao kukufuata huko PM. Weka ukubwa wa eneo na Bei hapa hadharani.
 
braza utatajiwaje bei kitu hujakiona come and see it then maswala ya bagainning yafuate

Sema bei acha ujinga! Siwezi kutoka dsm eti nakuja kuona kiwanja afu nina mawzo ya kiwanja cha miln4 au 8 afu nakuta kiwanja cha miln 50 kuja kwangu kutanisaidia nini? Utakuwa dalali wewe...!
 
Sema bei acha ujinga! Siwezi kutoka dsm eti nakuja kuona kiwanja afu nina mawzo ya kiwanja cha miln4 au 8 afu nakuta kiwanja cha miln 50 kuja kwangu kutanisaidia nini? Utakuwa dalali wewe...!

mil 60 kamanda...kusu ukubwa wa eneo kwa vipimo sijavi master vizur....but eneo ni kubwa Sana. eneo la parking na nyumba kubwa ipo ya kutosha.
 
Kiwanja kipo maeneo ya bugando karibu kabisa na hospital ya Bugando jijini Mwanza.Kiwanja kimepimwa na kina hati miliki.Kipo karibu na nguzo ya umeme pia kuna njia ya gari hadi kwenye kiwanja.Pia kipo jirani na City Center ya jiji la Mwanza.

Bei ni nafuu kabisa.kwa mazungumzo zaidi tuwasiliane kupitia simu namba hizi:
0768207248
0657137862

mkuu ni vizuri tukawasiliana ili ukione kwanza kisha ndo tuzungumze bei

mkuu hapo juu nadhani nimefafanua vizuri.nimesema ni kiwanja kimepimwa na kina hati miliki.sasa mambo ya eneo yametoka wapi na toka lini eneo likawa na vipimo na hati miliki yake?

mil 60 kamanda...kusu ukubwa wa eneo kwa vipimo sijavi master vizur....but eneo ni kubwa Sana. eneo la parking na nyumba kubwa ipo ya kutosha.
hili eneo halipo kwenye miamba mkuuu ni flat


So let me get this straigjht,
1. Hutaki kuweka picha au kutoa description ya "kiwanja" kwamba unafikaje!
2. Mil. 60 ni bei nafuu kabisa kwa eneo ambalo hata hujui unafikaje!
3. Unakataa si eneo na kusisitiza ni kiwanja chenye hati halafu hujui 'vipimo vyake'?
4. Unataka mtu aje aone "kiwanja" ambacho wewe mwenyewe hujui hata maelezo yake?
5. Unakuwa mbishi hata katika ushauri wa vitu rahisi namna hii!

Nadhani utakuwa unatania!
 
Kiwanja kinauzwa maeneo ya airport ilemela mwanza. Ukubwa sqm 266. Bei 2ml. 0753101293
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom