Wadau poleni na majukumu naomba kuwapa taarifa kwa walioko naeneo ya Mwanza kuna eneo linauzwa ambalo lina viwanja 4 vyenye ukubwa wa 15x30 sq meters maeneo ya KISEKE B WILAYA YA ILEMELA. Gari...
Nyumba yenye fence na LUKU inauzwa;- NYAMANORO B:- BLOCK J. NO 73. INAPAKANA NA MLIMA WA KAWEKAMO/Masister RC. KAWEKAMO STREET. Ni Airport RD. Simu 0754 302006 or 0783 393921
Nauza kiwanja 25x26 kipo Buhongwa-Mwanza, kipo karibu na huduma za Jamii! Bei Mil. 4.5 mawasiliano 0655206989 au 0762206989 Maelewano yapo kwa mwenye kuhitaji
Kiwanja kipo Buswelu Mwanza. Ni tambalale. kipo pembeni ya barabara. Kina ukubwa wa 25x23m.
Bei ni million moja na laki tatu (Tsh. 1300,000/=). Maelewano yapo.
Nipigie kwa 0757078999...
Nyumba Ina vyumba vitatu vya kulala,kimoja ni master, sebule, jiko store, baraza mbili, sliding alluminium windows, gypsum, tiles, system ya maji moto na baridi unafanya kazi...
We are a website designer and we work all over Tanzania and outside Tanzania.
We design a responsive website for school, Ngo's, Online shop, magazine,Business,Classifieds Site etc. We design at...
Kwa wale wanaohitaji Satelite Dish za Startimes zinapatikana kwa Reja reja na Jumla kwa wale wanaohitaji kuwa mawakala wakubwa na wadogo.
Kwa wale wanaohitaji dekoda full set pamoja na ufundi...
Ninauza Panasonic camera DMC-GH2 (hacked) hack has a higher bitrate ambayo ni professional video quality. ipo katika hali nzuri kabisa haina tatizo lolote ipo pamoja lens yake14-42 lens +Original...
Pikipiki mpya kabisa za Boxer BM 150 zipo sokoni kwa bei safi ya Milioni 1 na Laki 2 tu.
Changamkia fursa zipo tatu zote ni nyeusi na hazijatumika kabisa.
Kwa maelezo zaidi njoo inbox nipo Kwa...
Nyumba inauzwa ipo maeneo ya vetenary temeke.Ina
1.master room moja
2.guests rooms mbili
3.sebule/seating room moja
4.jiko
5.public toilet ya ndani
6.public toilet ya nje
7.visima vya maji viwili...
Wasalamu wana wa jf!
Naomba kuwajukisha wale wrote wanaoitaji nyumba ya kupanga au wake madalali wanao pangisha nyumba....kwamba napangisha nyumba (upande) iliyopo eneo la mbezi africana mitaa ya...
Utashindwaje kushine kwa mfano.
jichagulie adidas kulingana na mfuko wako,
Za valvet Tsh 25000
size 40-45
Leather Tsh 40000-50000
bila kusahau Allstar na punguzo la hali ya juu hadi 21000...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.