Nauza Mafuta ya Nazi asilia

Nauza Mafuta ya Nazi asilia

dos un

Member
Joined
Nov 24, 2015
Posts
24
Reaction score
9
Habarini wana jamvi.
Mimi mjasirilia mali ninayechipukia.
Nimeamua kutengeneza mafuta ya nazi asilia mazuri kwa ngozi za watu wote.
hayajathibitika kuwa na madhara mwilini. Yanapatikana kwa ujazo wa ml. 200 kwa bei ya sh. 7,000. Gharama hii ni bila ya usafiri.
karibuni sana.
1462802127714.jpg

Kwa mawasiliano
0767 200476
0712 464064
karibuni sana.
 
Back
Top Bottom