Habari wadau.
Nina Nikon Professional Camera za kisasa nina ziuza kwa haraka bei ndogo sana.
D3300, D5100, D5200.
Atakaye hitaji aje PM au piga namba hii 0758 020250
Karibuni sana.
Bonge la Offer Kutoka Tanzania Website Experts;
Website Design ya ukweli
Domain name Registration (mwaka Mmoja)
Website Hosting (Mwaka Mmoja)
Bei ya Kila kitu hapo ni ONLY TZS 150,000/-...
Inahitajika nyumba ya kupanga yenye vyumba viwili au vitatu vya kulala, sebule, dinning, jiko, car parking space, iwe na uzio. Appartment zisizozidi nyumba mbili sehemu moja au nyumba...
Shamba linauzwa. Lipo eneo la Kiguza Mkuranga, Kilometa mbili kutoka barabara kuu. Linafaa kwa kilimo na makazi pia. Kwa anayehitaji tuwasiliane kwa 0717 030636
UTANGULIZI
MIDUNDO ni huduma ya muziki inayompa mtumiaji nafasi ya kufurahia nyimbo kwenye simu ya mkononi muda wowote na mahali popote zikiwemo video, miziki, albamu, miito, milio pamoja na...
Kitanda cha mning cha sita kwa sita nagodoro bei 270,000
Kikabati chambao kidogo bei 90,000
Kapeti la nyoya upana futi 5,3 urefu futi 7,3 bei 280,000
Redio subwoofer Samsung bei 180,000 ila...
Dalali au mwenye nyumba naomba ni PM
-chumba, sebule na jiko (self)
-maji, luku na geti
-tiles n gypsum
-budget 150,000/-
-kuhamia ni May 1st
Negotiable pay plan
Maswali na majibu yote yaletwe PM
Habari wakuu.
Kama unaanda payroll kwa kutumia software kama VIP payroll premier na nyinginezo,
Natoa huduma zifuatazo:
1/Kuhamia mwezi unaofuatia kama payroll package inashindwa (fail to roll to...
Pikipiki Ipo katika hali nzuri nauza kwasababu inakaa ndani tu ni Aina ya SKYMARK bei ni 800,000 maongezi yapo, inafaa kwa biashara pia kwa matumizi binafsi, kwa sababu ni mashine ya ukweli, njoo...
Wadau habari zenu, natumai nyote hamjambo kabisa.
Mimi ni mkazi wa huku kigamboni, ni kijana na nina familia. nina wazo ambalo naona linaweza kufanya kazi.
Kama kuna mtu mwenye shamba maeneo ya...
Nahitaji kupanga chumba, sebure na choo kwa maeneo ya kigambon, kimara au changanyikeni. Nyumba iwe fresh, mazingira mazur. Dau langu ni laki na ishirini. Napatikana kwa 0713806766. Asanteni
Kama kichwa kinavyosomeka... Naziuza zote kwa laki 3 nanusu.... Nakupa pamoja na Sim tank 2 (lita 250 kila moja) Zinahitaji service ndogo maana hazijawaka muda mrefu kdg.... Inabid ubadili oil...
Wanawake wengi wanateseka na hizi uvimbe zinapatikana kwenye uterus zinazoitwa fibroids. Fabroids ni uvimbe ambazo zinazokua kwenye uterus. Hata kama zinatengezwa na misuli ndani ya uterus, ni...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.