Avr automatic voltage regulator ni kifaa kinasaidia kuzuia umeme unapokuwa sio mzuri aidha mkubwa au mdogo na kuzuia kifaa chako kisipate madhara..unaweza kuchomeka mpaka vifaa 3
Used kutoka...
Mgeni rasmi Jaji (mstaafu) Joseph Sinde Warioba akipeana mkono na Mkurugenzi Mtendaji wa Britam Group Dk. Benson Wairegi muda mfupi baada ya mheshimiwa huyo kuzindua rasmi Kampuni ya Britam...
Kuwahi kufika kwa wanaume wanaojichua ni la kisaikolojia zaidi! Mtu anapojichua lengo ni kujilizisha na si kuulizisha mkono hivyo muhusika huuzoesha ubongo wake kutosumbukia kuchelewa kufika...
Habari gani wakuu?
Napenda kuwataarifu kuwa tumeandaa chapisho tunalotegemea kuliingiza mitamboni ndani ya siku chache zijazo kuhusiana na ufugaji wa Kuku na samaki.
Kutokana na machapisho yetu...
Wapendwa wana JF,
Salaam. Napenda kuwatangazia fursa ifuatayo:
Kama wewe ni msichana, mdada, au mmama na una account Instagram yenye kukidhi vigezo vifuatavyo; basi wasiliana nasi ili uigeuze...
Habari wanajukwaa, jipatie nakala yako ya vitabu vya Joram Kiango kama
MTAMBO WA MAUTI
TUTARUDI NA ROHO ZETU
MIKATABA IS KISHETANI
ROHO YA PAKA
MIKONONI MWA NUNDA n.k
Fika Hamidu Rubawa...
kama una hitaji toa oda yako ,kuanzia wiki 1-2 kutokana na oda zilizopo
oda ikikamilika unajulishwa then utalipia na kupata mzigo.
tray ni tshs 16,500/=
Habari wanajamvi,
Pata vitabu vya historia ya Nchi yetu kama:-
Maisha na Nyakati za Abdulwahid Sykes
Conflicts and harmony in Zanzibar,
Tanzania na Propaganda za udini
Kwa bei ya shilingi elfu...
mashamba yanapatikana rufiji-ikwiriri.kwa wenye ndoto ya kumiliki mashamba ekari kubwa hata ekari 50 na kuendelea wani pm.mashamba hayo yanafaa kwa kilimo udongo wake una rutuba, mnaweza ita...
wanajamvi habari ya hasubuh?
Natumai mu wazima wa afya, kutokana na ongezeko la uitaji nwa fedha kwa wajasiriamali wengi nchini, na pia kutokana uwepo wa mizengwe mingi, katika upatikanaji wa...
Make : Nissan
Model : X - trail
Mileage : 91,000 km
Engine size : 1990cc
Fuel : Gasoline/Petrol
Drive : four wheels drive (4WD)
Steering : Right
Transmission : Automatic
Ext. Color : Gray...
Habari za leo wana JF!
Mimi na mwenzangu tunataka kuanzisha biashara ya Car Wash, tayari tumeagiza vifaa na vitakuwa nchini mapema mwezi February au March. Bado tunahangaika kupata eneo kwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.