Jamani naombeni msaada ni maduka gani yanauza simu za jumla kwa bei nafuu

Hakikwanza

JF-Expert Member
Dec 11, 2010
4,034
1,003
Ndugu zanguni nahitaji msaada nataka kufanya biashara ya simu za mkononi brands hasa za Tecno zile za mtu wa kawaida nikiwa na maana ya simu ambazo sio smart.

Hivyo niombe msaada ni maduka gani DSM yana bei nafuu? Naomba msaada kwa wenye kujua. Natanguliza shukrani zangu za dhati
 
Ndugu zanguni nahitaji msaada nataka kufanya biashara ya simu za mkononi brands hasa za teecno zile za mtu wa kawaida nikiwa na maana ya simu ambazo sio smart. Hivyo niombe msaada ni maduka gani DSM yana bei nafuu? Naomba msaada kwa wenye kujua. Natanguliza shukrani zangu za dhati
Nicheki no 0652971495
 
wewe unategemea kupata kwa bei gani? lipo duka nalifahamu ila sijui kama linakidhi hizo bei zako. umeshaangalia huko kwenu hizo simu unazotaka kununua zinauzwaje?

duka lipo aggrey na msimbazi kama unatokea uhuru kunja kushoto jengo la pili kulia ulizia yusufu
RIOEFra.jpg
 
wewe unategemea kupata kwa bei gani? lipo duka nalifahamu ila sijui kama linakidhi hizo bei zako. umeshaangalia huko kwenu hizo simu unazotaka kununua zinauzwaje?

duka lipo aggrey na msimbazi kama unatokea uhuru kunja kushoto jengo la pili kulia ulizia yusufu
RIOEFra.jpg
Nashukuru sana Chief kwa kunisaidia nitafika hapo
 
Tafuta wale wakwepa kodi

Wanaagiza mzigo then wanaweka ndani bei zao ni cheap sana ukilinganisha na kariakoo, nilishawahi kufanya hiyo biashara

Wale hawalipii pango wala hawalipii TRA
 
Chief-Mkwawa nashukuru nilifaulu kufika na kuchukua simu asante sana Mungu akubariki sana
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom