Tembelea
Arusha Empire Counselling Centre
Kuna watu wanawatwisha wachungaji na watumishi wengine mizigo wakidhani wana mapepo kumbe wanataka ushauri tuu.
_ kuna watu wengi wanafika point of no...
Kampuni yetu imefungu Branch Arusha sasa kama unashida yoyote ya kuprint ama kupiga Copy na kifaa chochote duniani . Usisite kupiga simu yetu 0655948888
Kama kicha habari inavyosomeka hapo juu.
Nahitaji mtu mwenye uwezo na ujuzi wa kufanya yafuatayo:-
1: video shooting and editing.
2: graphics designing.
Ni kwa ajili ya production ya kipindi cha...
Nauza sandals za
Wadau tuungishane basi jamani sio kupeana tu maujanja wakati wateja ndio nyienyie.
Hizo ni baadhi tu ya sample ila zipo nyingi na za ukweli sana ni kwa jinsia zote na saizi...
Iwe na vyumba vya kulala vitatu, pia nyumba ndogo ya mfanyakzi .
Kama unayo tuma picha na maelezo yake kwa njia ya whatsapp 0784225000 au email: info@kitomai.com bajeti tshs 2,200,000/= kwa...
Wadau nahitaji sport bike kutoka India
Manufacturer- Bajaj
Model-Pulser 200 NS
Nahitaji kujua kama pale india inauzwa rupee 95000; pamoja na kufanya shipping services mpaka ifike bongo niikamate...
About Big one enterprises
Bigone logistic inakupa suluhisho la kupaua kuanzia ushauri
wa kukupigia hesabu mabati mangapi yanahitajika katika nyumba yako kwa njia ya ramani au kufika site kwako...
Nyumba/kiwanja ukubwa ni sqm 980,
eneo ni tanki bovu mita mia mbili kutoka barabara ya bagamoyo ilipo benki ya NBC au kanisa la kilutheri mbezi, ina tittle deed (hati ya umiliki) na eneo...
Habari zenu waungwana,mie ni kijana mwenye utaalamu wa kufanya wiring ya umeme katika nyumba na ghorofa.
Bei zangu ni nafuu na pindi nitakapokufanyia utafurahia mwenyewe,na pia kama nyumba ina...
Wadau,
Nahitaji fundi mzuri wa kupanga paving blocks. Mafundi nawaona wengi mtaani, ila ntashukuru nikipata reference toka kwa mtu ambae amefanyiwa kazi nzuri.
Nyumba ipo Tangi Bovu, Mbez Beach...