Nyumba ina vyumba vtatu vya kulala ft12×10 (1master&2single)sitting room, public toilet, Nyumba ina kisima cha maj saf na hayana chumv, umeme unawaka, eneo n mita 16×15 nyumba ipo mtaan gar...
Hivi ni mim tu ndio mwenye bahati mbaya ya kusumbuliwa na kudanganywa na mafundi? Yani hafiki kwa wakati mliokubaliana na wengine wanakua wababaishaji.
Basi baada ya kuchoshwa na hizi porojo huku...
Ni watengenezaji na wauzaji wa bidhaa mbali mbali za ngozi kama vile viatu, mikoba, mabegi, wallet, mikanda, kofia na hata kacha tunapatikana Dodoma na bidhaa zetu tuna tuma Tanzania nzima na kwa...
Wana JF
Naomba mwenye ufahamu wa ndani kuhusu kuendesha biashara ya kusagisha na kuuza unga wa Sembe:inalipaje?aina gani ya machine inafaa zaidi,na ujanja wa biashara hiyo!mahindi yapi yanatoa...
Wakuu Habarini Za Mihangaiko!
Naomba Mwenye li Smartphone la ukweli la kuuzia sura hata kama litazimwa mwezi wa 6 Aniuzie Kabla TCRA Hawajafanya yao, nami niigusi japo siku mbili tatu kabla...
natafuta mtu wa kufanya nae biashara ya T shirt za shule ni kuanzia T shirt 200+ kampuni au mtu binafsi kuna tenda ya shule nimeomba za nembo za zisizo na nembo. wasiliana nami kwa pm
If you own a clearing and forwarding company with all relevant documents and you're interested on selling please check me in my inbox so we can have a chat on the same.
Make sure your company...
Sasa mvute mpenzi aliyembali, kumtuliza mume asitoke nje ya ndoa na kuvuta nyota ya mapenzi.
Au una matatizo katika biashara zako? Sasa muone Ustadhi Ali atakusaidia.
Ofisi zangu zipo mkoa wa...
Naomba kama unaifahamu shule nzuri yenye kiwango kizuri cha ufundishaji na utulivu wa mazingira maeneo ya kuanzia BUNJU mpaka BAGAMOYO naomba nifahamishe. Nina watoto wa miaka ya kwenda shule hizi...
Nyumba ina vyumba vtatu (1master&2single with public toilet),sitting room kubwa, dinning, (fens&parking area),umeme unawaka ipo barabara ya mtaa kutoka stand ya daladala n mita 700 contact 0656 698232
About Big One Enterprises
Big One enterprises(logistics )
Tupo kwa ajili ya kukupunguzia gharama,mda,usumbufu katika sekta ya upauaji,tumejikita katika kuokoa gharama na kumpunguzia mteja gharama...
Kichwa cha habari hapo juu chajieleza.
Toa order yako mapema, unaweza kupata vifaranga at least 100 kila wiki (uwezo wangu ni kutoa vifaranga 150 kwa wiki)
Wewe utaamua unahitaji wenye umri...
Kama Uko #Arusha 105.7 FM huna haja ya Kupanga Foleni Kupata Sukari we sikiliza #GoodMorningTanzania ya @Radio5tz Asubuhi saa 12 hadi saa 3 Upewe Sukari Bure....Piga Namba 0687010102...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.