Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.

On JF:

Nauza shamba lenye ukubwa wa heka sita(6) zilizo kaa pamoja .Mazingira ni mazuri sana .Kinafaa kwa shule au hotel .Kipo MAJI YA CHAI .Umbali ni KM 2.5 kutoka barabara ya moshi arusha na KM 28...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Karibuni kwa perfume za kiume nzuri na zaukwel bei kuanzia 47,000 mpaka 79,000 weka oda yako sasa. Ukihitaji kupata punguzo pia karibu utaelekezwa. Nitafute kwa whatsapp/ text/ call +255 (0) 717...
2 Reactions
12 Replies
6K Views
Simi tajwa hapo juu inauzwa Bei ni 130000/= tu Imetumika mwezi mmoja Unapewa kila kitu chake. Kwa wanunuzi tafadhari tuwasiliane 0716863406.
0 Reactions
2 Replies
794 Views
Naweza kumpata fundi wapi kwa gharama nafuu , kama ni kioo na touch inagharimu shilingi ngapi? Msaada kwenye tuta
0 Reactions
2 Replies
733 Views
Habari wadau! Kwa wale mnaotaka kusajili kampuni zilizokuwa 'limited by shares' karibuni. Nina utaalamu na masuala hayo ya uandishi wa vitabu hivi. Nakuuzia wewe mwenyewe utaiginga muhuri kwa...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Kiwanja kina ukubwa wa 35 kwa 25, kina nyumba ya matofali ya block(rum 2 kawaida 1 self,jiko na public toilet ndani) iliyoishia kwenye renta, kipo Morogoro(Bigwa Misongeni). Bei ni 14m na sihitaji...
0 Reactions
0 Replies
742 Views
PHOTOCOPY MACHINE AINA ZA KYOCERA ,RICOH .TUNAUZA KWA BEI POA. PIA TUNAFUNGA NA KUFANYA MAINTENANCE, TECHNICAL ASSISTANCE. CONTACT. WILFRED EDWARD NYANGILA MOB.+255 719 603040 EMAIL...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
photocopy aina za kyocera na ricoh zinauzwa bei nzuri sana .pia tutakufungia. piga simu no. +255 719 603040
0 Reactions
11 Replies
2K Views
Ndugu zanguni nahitaji msaada nataka kufanya biashara ya simu za mkononi brands hasa za Tecno zile za mtu wa kawaida nikiwa na maana ya simu ambazo sio smart. Hivyo niombe msaada ni maduka gani...
0 Reactions
10 Replies
3K Views
Deleted
0 Reactions
11 Replies
3K Views
Kama unahitaji, Wasiliana nasi kwa 0716 777 300. Tunakuletea popote pale!! Sema tu unahitaji ipi!
1 Reactions
4 Replies
6K Views
Natafuta Android 5.1 tablets brand nzuri.Nahitaji kama 15 in total with good memory. where can I get genuine tablets and at what price. I'm reached at damax@gmx.com or nat867@gmail.com
0 Reactions
0 Replies
610 Views
Nipo Arusha kwa anaye uza Mashine ya kufulia kwa domestic use anijuliahe
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Habari wakuu, nina gari aina ya Honda CR-V ya mwaka 1999 nauza kwa sh 7.5M. Gari ni Automatic na ipo katika hali nzuri, imetembea umbali wa Km 169,000 na ina insurance na toad licence mpaka...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Habari wadau, Natafuta dereva kwa ajali ya familia; 1. Jinsia ya kike 2. Awe mkazi wa Dar es Salaam hasa maeneo ya sinza, kijitonyama, Kinondoni, Mwenge. 3. Awe na leseni halali ya kuendesha...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
hello there kama una website iliyopotea hewani ghafla then nipm.....vile vile narudisha password za web admin zilizosahaulika na kupotea......nipm or text 0654262419
1 Reactions
9 Replies
1K Views
Habari Gari aina ya HONDA CRV inauzwa hapa jijini Mwanza. Inaingia nchini March, 2015. Namba ya usajili ni DDM, bei ni 10m. kwa mawasiliano piga namba. 0765072213 Picha zitafuata kesho
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Habari Jf, Kwa wale wote wenye uhitaji wa msusi na dada wa saloon tuwasiliane kwani yupo msichana(binti) mchapakazi mwenye umri wa miaka 24 anaishi Mabibo_Dar es Salaam. Ni mwaminifu, na hodari...
0 Reactions
0 Replies
858 Views
Jamani mbuzi wa maziwa haooooo! Wanauzwa kuanzia 100,000/= hadi 250,000/= Dar Es Salaam Mbagala Kongowe. Sababu za kuuza ni kubadili mradi. Piga 0767802075 kama umependa
0 Reactions
4 Replies
5K Views
Nimecheki mtandaoni watu walipendezewa na suti ndo nikakuta hawa wazee, wakuu Wapi naweza pata suti kama walizovaa hapo?
0 Reactions
13 Replies
2K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…