About Big one enterprises
Bigone logistic inakupa suluhisho la kupaua kuanzia ushauri
wa kukupigia hesabu mabati mangapi yanahitajika katika nyumba yako kwa njia ya ramani au kufika site kwako...
Mabati ya msouth(IT5),(Migongo mipana)
Mabati ya mikunjo(Versatile)
Mabati migongo modogo(corrugated) ya rangi na meupe
Mabati yenye chenga za miamba(natural stone coated)
-Misumali ya bati...
Habari wanajamvi natafuta mtu wa kuingia nae ubia nina eneo kubwa maeneo ya Mbezi beach karibu na Ghorofa za B.O.T.
Eneo ni kubwa kwa macho i mean physical lakin cjalipima na ni suitable for...
Habari za mchana wapendwa.
Karibuni Pilipili yenye ladha nzuri inayoongeza hamasa ya kula chakula...nimeipika katika mazingira safi na kuipack katika vifungashio salama kwa afya ya mlaji...ipo ya...
Habari zenu wanajamvi?
Mpishi mwenye uzoefu wa kupika kwenye shughuli kama harusi,send off,ubarikio,kipaimara nk anapatikana mjini Arusha.(Mtaalamu wa kupika vyakula vya watu wengi na kufanya...
Iwe na uwezo wa kusupport 4g.. Screen ianzie 5.5".. Isiwe tablet.. Iwe Android.. Nna Tsh 400k Cash.. Nipo Dodoma.. Camera pia iwe nzuri.. Used Au Mpya are accepted both
Baby Moon walk/baby walker
Tembea na mtoto kwa uhuru, na bila kumuumiza mikono huku akijifunza kutembea vizuri.
Vitu vya kisasa kabisa
Only kwa 40,000, Free delivery kwa Dar
0652036191
Naomba mtu anayejua utaratibu wa kupata mifuko ya kupaki bidhaa, mfano mifuko hii ya Chama, anaeleweshe. Nimefungua company, sasa nataka mifuko special ambayo itakuwa inapaki bidhaa zangu na mfuko...
We help in:- Proposal development, Questionnaire designing, Data analysis, Data presentation and Report writing
We also help in teaching different database and analysis software such as:-
MS...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.