Habari wanajf,
Kwa wale wenye tatizo la uhaba wa maji na wamechoshwa na kero hiyo,
nakukutanisha na wataalamu na mafundi waliobobea ktk uchimbaji visima vya aina zote,kufunga pump na kufanya...
NYUMBA IKIWA NA KIWANJA CHAKE UKUBWA 42 KWA 35 INA CHUMBA CHA KULALA,JIKO,CHOO,SEBULE imepauliwa nusu, kuna migomba, maji yapo jirani kiwanja hakijapimwa bt kuna makaz ya watu,ipo mpakan mwa...
Habari wanajf,
Kwa wale ndugu zangu wenye shida ya wafanyakazi wa ndani(wadada wa kazi) umri miaka 18_22.
Wenye uzoefu,waaminifu na wenye tabia nzuri wanapatikana(utatafutiwa anayekufaa).
N.B...
Heshima mbele wana JF,
Nimekuwa mfuatiliaji mzuri wa maada katika jukwaa hili,Kwa sasa nimeona vyema kurudi jamvini kueleza maendeleo ya project yangu na inaweza kusaidi kupata msaada mkubwa wa...
Mambo vp mazee.
Mimi ni mfugaji mdogo wa nguruwe. Sasa ninao nguruwe waliofikia umri wa kupandishwa au kuliwa. Ninawauza. Na wapo mbeya. Kwa anaehitaji Karibu anipm.
Nauza huawei y300,,ina dual camera na flash light ya kupga pcha nzuri sana,haina scratch wala crack,internal memory4gb, android versn 4.1.1 ni original waweza ithbsha kwa TCRA, nashndwa weka pcha...
Hellow Jf ,
nina mchele jumla ya tani 15 ninauza kwa bei ya sh 1500 kwa kilo , nakaribisha wateja wa jumla, shule, chuo n.k , atakayenunua kuanzia tani 5 nakuletea mkoa wowote ulipo,
contacts...
Kwa yeyote mwenye ufahamu wa bei ya chalk mould naomba anifahamishe. Lkn pia nitafurahi kama utanijia maduka na mitaa zinapo uzwa.
Natanguliza shukurani.
Natafuta watu watatu wa kuanzisha nao biashara ya kutengeneza wine kutokana na rosela na matikiti maji. If upo interested tuwasiliane, mm ni mtaalamu wa Chakula kutoka Sokoine University of...
Tunauza soft copy na hard copy ya kitabu cha RICH DAD POOR DAD cha Robert Kiyosak kwa bei nafuu..Hard copy tunauza 9.000/-Tshs na soft copy tunauza 3,000/-Tshs...TUPIGIE 0624-079887
Tovuti ya Tanzapages inawakaribisha wadau na wajasiliamali kusajili biashara zao bure mtandaoni kwa kutumia tovuti hii www.tanzapages.co.tz. Wafanyabiashara wadogo na wakubwa, wanaweza kuitumia...
Habari,nawakaribisha tena mayai ya kuku wa kienyeji bado yapo mengi.Trei moja yenye mayai 30 tunauza elfu 15 tu na kukuletea popote ulipo.Kwa wale wa mikoani na Zanzibar tunatuma pia.
Msambazaji...
Fresh Product tuna sambaza Bidhaa Asilia Mahotelini, Maofisini, wafugaji, Nk tutakuletea hapo ulipo Kwa DAR SS ALAAM kwa bei nafuu.
Kuku wa kienyeji pure wakufuga umri miez 3/4 @Tsh 10000/=...
Laptop aina ya hp probook 450 g2 series inauzwa. Imetumika kwa muda wa miez miwili tu.
Specification zake ni km ifuatavyo;
Ram 4gb,
Harddisk 500gb,
Webcam,
Capable of fingerprint and many more...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.