Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.

On JF:

Wadau,ninauza displaying boards 2 used na hook zake pamoja na showcase mmoja vyote ya ukutani kwa pamoja tsh 200,000/=vinapatikana tabata Dsm.
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Iwe na uwezo wa kusupport 4g.. Screen ianzie 5.5".. Isiwe tablet.. Iwe Android.. Nna Tsh 400k Cash.. Nipo Dodoma.. Camera pia iwe nzuri.. Used Au Mpya are accepted both
1 Reactions
5 Replies
2K Views
Baby Moon walk/baby walker Tembea na mtoto kwa uhuru, na bila kumuumiza mikono huku akijifunza kutembea vizuri. Vitu vya kisasa kabisa Only kwa 40,000, Free delivery kwa Dar 0652036191
0 Reactions
3 Replies
4K Views
Naomba mtu anayejua utaratibu wa kupata mifuko ya kupaki bidhaa, mfano mifuko hii ya Chama, anaeleweshe. Nimefungua company, sasa nataka mifuko special ambayo itakuwa inapaki bidhaa zangu na mfuko...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Kwa wauzaji wa computer nnahitaji computer ambayo ipo kwenye hali nzuri.. Kwa mawasiliano zaid... 0672964011 for serious seller
2 Reactions
16 Replies
3K Views
kwa mwenye kuhitaji kufunga ama kurekebishiwa CCTV camera fundi nipo nafunga popote Tanzania gharama za usafiri na malazi nje ya Dar ni juu yako
0 Reactions
8 Replies
1K Views
We help in:- Proposal development, Questionnaire designing, Data analysis, Data presentation and Report writing We also help in teaching different database and analysis software such as:- MS...
0 Reactions
1 Replies
581 Views
Gari iko katika hali nzuri Iko chamanzi Full licensed Iko barabaran haina tatizo lolote 0713715772
0 Reactions
12 Replies
4K Views
ASILI YETU Nikikundi kinachojiusisha na ufugaji wa ndenge tofauti,tupo Arusha. Tunapenda kuwataalifu tunauza ndenge haina ya Bata Mzinga wakubwa miezi mitano JIKE.100,000 DUME.120,000...
0 Reactions
11 Replies
5K Views
Iwe chumba na sebule.. Choo ndani Maji yawepo Fensi. Tiles & gypsum Luku ya kujitegemea..
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Baby boy Urinal Potty Kwa watoto wa kiume Weka mahala maalumu na mfundishe mtoto wako kutumia hana ndogo. 1. Rahisi kutundika ukutani 2. Rahisi kutoa inner set iliyo na mkojo na kurudisha 3...
0 Reactions
1 Replies
689 Views
Wengi wamekuwa wakiulizia uchoraji ramani, ukadiriaji wa ujenzi wa nyumba na gharama za upimaji viwanja na mashamba, nimebahatika kukutana na kijana huyu James Aloyce (facebook) mzoefu na...
1 Reactions
11 Replies
6K Views
Note 4 inauzwa ni mpya imetumika mwezi mmoja, Watsap me 0754865192.ipo dar
0 Reactions
3 Replies
713 Views
Tunatoa Huduma za; 1. Uhakiki wa kiwanja chako kwa kuchukua 'coordinates' ili upate kujua kama eneo lako ni sahihi kulimiliki au la, usije kujenga katka eneo lililotengwa kwa shughuli za serikali...
0 Reactions
24 Replies
5K Views
Nyumba inapangishwa tegeta namanga,ni nyumba nzuri sana inafaa kwa familia au kwa ofisi.ina servant quater,fensi na car parking kubwa.dk tano kutoka new bagamoyo road.kodi ni sh 1M unaweza lipa...
0 Reactions
0 Replies
781 Views
Poleni na majukumu, nimekuwa na ndoto za kumiliki gari tangu zamani sana. Sasa kupitia shughuli zangu ndogo ndogo nimefanikiwa kusave shilingi laki nane (800,000) ambayo kwa maisha yangu mimi ni...
0 Reactions
18 Replies
5K Views
Nipm nikuuzie laini ya kwa bei raisi laki laki tu kila moja
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Shea butter ni nini? Ni mmea kutoka wa aina ya kipekee kutoka West Africa. Tunda la mmea wa Shea uwa linatwangwa na kuchemshwa hili kupata Shea butter. Faida za kiafya na urembo Shea butter ina...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Nauza gari rav4 ipo katika hali nzuri kabisa 11mil fix serious buyer call namba 0713440444
0 Reactions
9 Replies
3K Views
tecno phantom z mini A7..16gb memory.. 16 megapixel.. laki na 90 mpaka laki na 80 tu kwa anayetaka anichek kwa namba hii 0713871199
0 Reactions
23 Replies
5K Views
Back
Top Bottom