Habari za hapa.
Muda si mrefu nitapokea sigara za aina mbalimali toka Cuba. Wapenzi wa hii kitu nijulisheni kama mnahitaji. Zitakuwepo Kohiba,Romeo and Julieta n.k
Pia anayejua wapi nitaweza...
Ni nyumba yenye viyumba vitatu vya kulala, one master bedroom, two bedrooms, public toilet and bathroom, store kitchen, dinning, sitting room, a servant's quarter, a nice parking lot of 4-5 cars...
Plots mbili ziko moriet ukubwa 33 by 22 each ni surveyed price 25nmb each, Kia kuna plots mbili moshono one is 25 by 20 location nzuri sana @ 20 min n.a. nyingine 22 by 20 @ 12Mln
Nitafute...
Kuna mashamba yanauzwa jaribu mpakani tomoni bei yake kwa kila heka ni shilingi milioni mbili. Zipo heka takribani ishirini. Kwa mawasiliano zaidi nitafute Whatsapp 0784979520.Liko jaribu pwani.
Ndugu Zangu Nimekuwa Na Shida Ya Haraka Kidogo.
Naomba Mwenye Uwezo Wa Kunipatia Tsh 600,000 Ntampatia Baada Ya Mwez Mmoja Tshs 800,000.
Dhamana Ni Vyeti Vyangu Vya Sekondari Mpaka Chuo Kikuu...
Pilipili ni kiungo kinachoongeza hamasa ya kula chakula na hutumika katika chakula cha aina yoyote...hii nmepika mwenyewe ktk mazingira safi na kua packed katika vifungashio salama kwa afya ya...
Gari iko vizuri sana na haina tatizo lolote
Ina 4wd
AC iko safi
Automatic gear
Inatumia petrol
Power windows
Model ya mwaka 1997
Bei ni milioni 9 tu.
Angalia picha ukipenda karibu tufanye biashara...
Jipatie mabati kwa bei ya kiwanda
Tuna aina zote za mabati karibu ujionee tofauti kwa bei za kiwandani
Migongo midogo za rangi
28gauge 9000/m,30gauge 8000/m
Migongo mipana
28gauge 9500/m,30gauge...
DATA ANALYSIS TRAINING
Kampuni ya Universal Consultancy imeandaa training kwa ajili ya wanafunzi wa Undergraduate,Masters na Watu wa Binafsi.
Mafunzo yatakayotolewa yatajumuisha :-
1.Research...
Habari zenu wapendwa, Nbeauty saloon ingependa kuwajulisha kwa wale woote wapenda urembo, yakwamba, tunatoa mafunzo ya Saloon, kwa wanawake na wanaume. mafunzo yanayo tolewa ni urembo wote...
Mabati ya msouth(IT5),(Migongo mipana)
Mabati ya mikunjo(Versatile)
Mabati migongo modogo(corrugated) ya rangi na meupe
Mabati yenye chenga za miamba(natural stone coated
Yamethibitishwa na...
Tangaza biashara yako kupitia #website tupo kwaajl yako tupigie,tuongee........au weka oda yako kupitia website ytu
Www.tzwebxperts.com
Au piga simu namba...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.