karibuni kwenye ukurasa wa dsat technology !
Dsat technology deals in Sales, installation & maintenance :-
dstv,Azam,startimes,
video door phone call,
Camera surveillance ,
Card and finger print...
Habari zenu wanaJF, kwa wale ambao watahitaji simu aina za samsung, LG na iphones zote ni original kutoka South Korea. nitakuwa bongo December ya mwaka huu 2016. kama unahitaji nitumie pm inbox...
-Viwanja vinauzwa kiluvya makurunge vipo kilometre 2 kutoka morogoro road.
-Huduma za jamii kama umeme,barabara na maji vinapatikana.
-Bei vinaanzia milioni tatu na nusu(3,500,000).
-Ukubwa wa...
- Kabla hujanunua eneo ambalo halijapimwa tutafute wataalamu tukusaidie kutokana na matakwa yako juu ya eneo hilo (tuchukue Coordinates na tukwambie kuwa hilo eneo limetengwa kwa matumizi yapi)...
Salaam wadau...natafuta mtu wa kutengeneza Risiti na Invoices books chache za ofisi.Pia aweze kudesign kidogo ili kuboresha design yangu.Mawasikiani 0689900000
Anayehitaji mayai ya kisasa bei yetu Leo ni 6000. Bei zinapanda na kushuka. Tupo buguruni dar. Contact 0654567777. Minimum order 100treys. 200trey unaletewa
Wadau mdogo wangu anahitaji kukopa, Yeye anafanya kazi lakini mikataba yao ni ya mwaka mwaka na wana-renew kila baada ya mwaka.
Tatizo sasa akienda bank hapati mkopo kiasi anachotaka kulingana na...
ni mtumba kutoka nje ni inch 19 ina DVD room HDMI na VGA port pia ina iPod dock bei ni 200k pia naweza exchange na simu, laptop ,tablet nicheki 0718097972 kwa maelezo zaidi na picha whatsapp hapa...
Eneo la ekari 8 lenye Hati lililopo Mwavi kwenye kona ya barabara kubwa ya Lami ya Bagamoyo Msataa na Mkenge road kabla hujafika kiwangwa 18kms from Bagamoyo mjini.
Linafaa kwa Makazi, Petrol...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.