disclaimer!
where i come from, we use a cross breed of english and swa(sheng), kwa hivo vumilieni wazito.
Hey tanzanits, mimi mgeni hapa, someone show me where to sit , and ladies should be...
Hi Wanajamii, nahitaji kupata wafanyabiashara wakubwa ambao huagiza makontena ya viatu kuleta hapa Tanzania, au kama unawajua wauzaji wakubwa wa viatu au bidhaa zozote zinazohusiana na ng'ozi...
Good family house for sale in Kibaha,including apartments three apartments,water available, tanesco power available,1km from Kibaha bus station just contact 0655619108
Habari za jioni?
Nauza shamba maeneo ya Mbopo karibu na Madale. Ukubwa ni eka 1 na bei yake ni mil 23. Eneo limepimwa na lina hati. Ni sehemu nzuri ambayo ipo tambarare. Kwa anayehitaji anaweza...
JISAJIRI NA UINGIZE KIPATO
1:Jisajii bure kwenye website ya icharity club
iCharity Club - Registration
2:Changia sh.50,000 ili uji upgrade uingie daraja la 1
3:Waunganishe watu 5 ambao...
Tunahitaji gari ndogo ya kukodi kwa kutwa maelewano km sh 25,000 per day(120 km limit per Day) ikiwezekana na deposit kama security tutaweka ndani ya jiji la Dar 35 km radius na inaweza...
Habari wana jamvi
natotolesha vifaranga vya kuku wa kienyeji kwa order bei ya kifaranga kimoja ni tsh 1500.karibuni sana nipo sinza dar.Pia kama una mayai yako tunatotolesha kwa sh 10000 kwa trey...
JMK ROYAL SERVICES
Agent of Building Materials tunakuletea tiles za TwyFord(better tile,better life)
Tiles za kila aina zote(za ukutani,chini,jikoni,bafuni,na ukuta wa nje ya nyumba) upendazo kwa...
Wadau natafuta dada wa kufanya kazi ya kutoa dawa kwenye duka langu la dawa muhimu. Duka Liko pembeni mwa jiji la Dar. Kama kuna mtu anatafuta kazi hiyo anitafute kwa kuni Pm
JMK ROYAL SERVICES
Agent of Building Materials tunakuletea tiles za TwyFord(better tile,better life)
Tiles za kila aina zote(za ukutani,chini,jikoni,bafuni,na ukuta wa nje ya nyumba) upendazo kwa...
Kuanzia leo tunaanza biashara ya mikeka
Tutaenda kwa rules 5
1. Tutaweka mikeka miwili tu + bonus 1 ambapo huu wa bonus utaweka hela ndogo ambyo haipaswi kuwepo kwny mahesabu
2. Mkeka 1 utakuwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.