Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.

On JF:

Wadau kama unajua wapi maweza pata hiki kifaa naomba nielekezwe ama kama umachopia itakuwa poa sana. Mm npo dar
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Jamani nina eneo chanika ila kwasasa naishi nje ya dar nimeshindwa kuliendeleza kwasababu nimebanwa sana sehem niliyoajiriwa so nina hofu litavamiwa sasa naona bora niliuze. 0763006200/0718006200.
1 Reactions
24 Replies
3K Views
Wana jamii naomba kufahamishwa, ni wapi naweza kupata mashine za kunyolea nywele zilizo orignal, hapo kwa mzoefu anijulishe aina iliyo bora pamoja na bei yake, na pia ni maduka gani naweza...
0 Reactions
13 Replies
8K Views
Salaam wadau..nauza picha za urembo wa nyumbani na hata maofisini..Zipo kubwa na ndogo.Zipo pia fremu za picha.Bei ni kuanzia elf 40000 mpaka 120000.Karibuni sana.0689900000
0 Reactions
2 Replies
4K Views
Tunapima 20 kwa 20 na bei yake 7.5ml maongezi kidogo yapo Karibu ujipatie plot nzr iko maeneo mazuri na mji uliopimwa kwa mpangilio , njia nzr na panafikika kwa urahisi, unaweza pitia mbweni au...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Inauzwa engine na gearbox nissan caravan TD27 kwa 3m fixed piga namba hizi 0626744668
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Nmesoma mahali kwenye Group moja kuwa kuna punguzo la mwezi wa Ramadhan decoder za azam.nkashukuru sana kwa sisi tunaofunga tutapata muda pia wa kuangalia vipind mbalmbal. Kama ni kweli aisee...
0 Reactions
14 Replies
2K Views
W
0 Reactions
6 Replies
1K Views
SMART CAR DVD PLAYER (XTRONS UK) Available for major car makes including Toyota, Ford, BMW, Audi, Honda, OPEL, Mercedes-Benz, Volkswagen, Suzuki, Chevrolet etc. Available in Android 4.4 Kit Kat...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Dell optiplex 790 MT Processor : Intel core i5 Speed : 3.1Ghz Ram : 4GB HDD : 500GB Bei; Desktop 470,000/= (bila monitor) Desktop + Radeon HD 5450, 1GB (Graphics card) - 490,000/= (bila monitor)...
0 Reactions
2 Replies
852 Views
Habarini wajasiriamali wenzangu, naomba kujulishwa kama kuna uwezekano wa kupata shamba la kununua au kukodi-Ruvu . Asanteni kwa msaada wenu.
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Habari: Natafuta mwalimu wa Kiswahili kwa ajili ya kazi ya muda lakini inaweza kumlipa kwa maisha yake yote. Sifa Awe na Shahada ya Kwanza ama kuendelea. Awe anafahamu English kwa ufasaha. Ikiwa...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
SPONSORED ADS Je Unahitaji Kutangaza Biashara Yako Kwenye Social Media Outlets Kupitia Huduma Ya Sponsored Ads Ni Matangazo kwa ajili ya Biashara / Bidhaa / Kampuni ? Tangazo lako linakuwa...
1 Reactions
0 Replies
943 Views
Kwa jina anaitwa Ally Mohammed. Ni mwandishi habari kutoka Zanzibar. nina mpango wa kuanzisha gazeti litakalotoka kila siku. Ningefurahi nkimuajiri huyo kijana. Aliwahi kufukuzwa kazi Redioni...
0 Reactions
6 Replies
986 Views
Mimi ni mjasiriamali mdogo natafuta duka au supermarkets ambazo naweza kusupply bites.kwa yeyote mwenye kufahamu tuwasiliane. Bidhaa nazo tengeneza ni visheti,halfcake,bisi,Karanga za mayai...
0 Reactions
3 Replies
984 Views
Pata simu kwa bei poa kabisa Samsung Galaxy S3-350k S4-395k S5-496k S6-1.24m S6 edge - 1.55m S6 edge plus - 1.78m Samsung Galaxy Note 1-292k Note 2-393k Note 3-532k Note 4-750k Note...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Mashamba,viwanja/plots vinauzwa a) Mbande Chamazi Mbagala - DSM 40ft X 50ft = 4,500,000/= b) Mbondole Ilala - DSM 40ft X 50ft = 3,000,000/= c) Tambani Mkuranga 50ft x 50 ft - Pwani = 3,000,000/=...
1 Reactions
4 Replies
2K Views
Unga wa uji Mchanganyiko 1. Mahindi 2. Karanga 3. Mbegu za maboga 5. Soya 6. Ngano 7. Michele Kwa tsh 4000 tu per kg Naderiver kuanzia kilo mbili 0714547830
0 Reactions
0 Replies
6K Views
MAKE ; TOYOTA MODEL ; HILUX-D/CABIN MODEL NO.; LAN25R-PRMDEN BODY TYPE;- PICK UP TARE WEIGHT;- 1870KG GROSS WEIGHT;- 2710KG COLOUR;- WHITE ENGINE NO. 5L6074241 YEAR OF MANUFACTURE ;- 2008 ENGINE...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Natafuta mtu wa IT mwenye experience na chromebooks. Nahitaji kufanya service ya hizi small PC (chromebooks). Kwa mawasiliano zaidi please ni PM. Asante.
0 Reactions
0 Replies
457 Views
Back
Top Bottom