Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.

On JF:

Habari wana jf, Kwa wenye kuhitaji asali ya nyuki wakubwa na wadogo kwa bei ya jumla aliyepo mikoa ya ARUSHA na MOSHI, na MANYARA tutafutane kwa namba 0629862390.
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Dear All, Im looking some one with funds to do joint venture to open UBER TAXI services look like here in Tanzania. The required capital is $ 100,000.Interested party in box me for more info
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Ninazo zote kwa jumla 3000 Npm
0 Reactions
7 Replies
2K Views
Je nikweli kuwa cement ya dangote ni TZS 8,000 kwa kg 50
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Ndugu wana JF ninaomba msaada kupata wanunuzi wa asali ya nyuki wakubwa kwa bei ya jumla. Ni asali nzuri kutoka singida haijachanganywa na kitu chochote. Mawasiliano 0766849951
0 Reactions
3 Replies
3K Views
Wadau naomba kufahamu duka naloweza kupata pikipiki aina ya Yamaha R15 au Pulsar NS 200. Na bei zake ziko vipi kwa sasa?
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Kiwanja Hiki Kipo Eneo La Wazo-hill Katika Wilaya Ya K'nondoni Mkoa Wa Dar Es Salaam, Kiwanja Ni Tambalale Na Kina Nyaraka Zote Za Umiliki Pia Tayari Kina Nyumba Ya Kuishi Ya Vyumba 3 Na Sebure...
0 Reactions
0 Replies
879 Views
Nyumba ya kisasa ina vyumba vtatu vya kulala (1master&2single),sitting room kubwa ya kisasa, dinning room, 2 public toilets,fens&parking area,maji yapo,umeme unawaka, full tiles,Nyumba ipo mta 300...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Habarini, Kama unakijua popote kilipo Dar kiwe na umeme, kodi iwe miezi sita au mitatu,naomba uniPM. Asanteni.
0 Reactions
10 Replies
2K Views
Viwanja kwa ajil ya ujenz wa makaz na shughul nyngne za kimaendeleo vinapatkana Kwa ukubwa wa 20/20 Kuna nafas ya kulipia kwa installment,unalipia 65% then Hyo 35% unamalizia ndan ya wik 6 0656 698232
0 Reactions
16 Replies
1K Views
Kwa mahitaji ya Fundi Bomba(plumber),amesomea chuon,ni mzoefu,vilevile in mwajiriwa wa serikali,pia ni mwalimu wa Bomba, pipe Installations,sanitary appliances,drainage system,water pump...
1 Reactions
0 Replies
5K Views
Habari wana JF, Naombeni kujua wastani wa bei ya dish kwa ajili ya kingamuzi ambacho inatoa free channels yani sio cha kampuni fulani mfano Starimes, Azam etc chenyewe kinahitaji dish kupata free...
0 Reactions
7 Replies
1K Views
TUNAKODISHA GARI COASTER KWA AJIRI YA TOUR KWENDA MIKOANI KWA MAWASILIANO ZAIDI 0764014285
1 Reactions
0 Replies
804 Views
Kwa vitanda bomba kabisa na vya kijanja basi tembelea Home Improvement · Tunapatikana Kinondoni, Dar Es Salaam, Tanzania Kwa mawasiliano tupigie 0652-458226; 0756-469679 Welcome to get better...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Simu au ipad ipi nzuri na kamili kwa ajili ya kufanyia biashara za mitandao ya bei rahisi isiyozidi 300,000/-
1 Reactions
1 Replies
877 Views
Nahitaji kutengenezewa plastic packing bags zaidi ya 500 , Naomba kama kuna mtu au kampuni inaweza kufanya hii kazi kwa bei nzuri tupeane mawasiliano au nicheki whatsapp 0759696989...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Wakuu wa nchi natafuta mtu mwenye machine ya kukamua asali mbichi .Nina Ndoo moja tu na niko Arusha .Msaada please
0 Reactions
2 Replies
3K Views
Ninauza asali ya nyuki wakubwa kutoka Tabora, ni mbichi na haijachanganywa na kitu chochote. Bei lita 20 tsh 160,000, mawasiliano 0674003082.
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Mambozi Wana JF Wale Wapenda Kamisheni Haya Kazi Kwenu!!! Nitafutie Kazi Za Video Shooting Na Photography Katika Matukio Mbalimbali Kama HARUSI, MSIBA, MAHAFALI NK. Mimi Nitakupa 20% Ya Thamani Ya...
0 Reactions
2 Replies
956 Views
Hi Wanajamii, nafahamu humu tumesambaa Dunia nzima, sasa leo naomba kama kuna Mzalendo yupo UK au Japan , na anasafirisha mizigo or kufanya biashara UK/Japan -Tz aniinbox nataka kuagiza bidhaa...
0 Reactions
3 Replies
936 Views
Back
Top Bottom