Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.

On JF:

Nina sahuku ya kumiliki tractor tajwa hapo juu.Naomba mwenye details na bei anisaidie.
0 Reactions
8 Replies
3K Views
Bati aina zote rangi upandayo,kofia,na misumali.kwa bei ya kiwandani.okoa garama,jenga kwa kununua bati kiwandani. It 4&it5(migongo mikubwa) gauge30 @7500 kwa meter It 4&it5(migongo...
1 Reactions
8 Replies
5K Views
Kuna clinic moja nilishawah kusikia inaitwa Herbal Clinic inatibu magonjwa sugu ikiwemo na fangasi. Kama kuna mtu anajua ilipo hapa Dodoma anisaidie ili nikatibiwe, hata mwenye namba zao za simu...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Ndoto ni njia mojawapo ya Mungu kuzungumza na watu wake kwa lengo la kuonya, kufundisha, kukuonesha hatari iliyopo mbele yako au hata kukuonesha utakuwa nani baadaye! Tunaona katika Mwanzo 20:3...
0 Reactions
15 Replies
11K Views
Nauza Toyata IPSUM PICNIC Haijatembea kilomita Nying sana Bei 9.5 Maelewano yapo ipo Dodoma 0765 860 437 NOTE Gari haina cha Udalali ni kutoka kwenye Mali
0 Reactions
15 Replies
2K Views
Ist tsh mil9.5
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Nyumba ina vyumba 3 self IPO ndani ya fance na ukubwa wa Eneo ni 1200sqm Bei yake 300ml Kwa Maelezo zaidi tuwadiliane kwa 0756060183
0 Reactions
9 Replies
3K Views
Laptop: Lenovo ideapad S510p Processor: Core i3 1.70Ghz Ram: 4GB Storage 500GB Price: Tsh 500,000/= Used in 2 months Call/whatsapp: +255718819347 kwa maelewano
0 Reactions
1 Replies
952 Views
Jamani Naitaji Toyota Carina Ti ambayo ipo kwenye hali mzuri bajet yangu ni million 4...
0 Reactions
0 Replies
724 Views
Zimebaki mbili z3x.na Volcano box full chinas
0 Reactions
7 Replies
1K Views
Au lipia 5milion unipe na gari moja kati ya haya (raum, ist, wish, gx110) Gari ni Prado Automatic Turbo, Diesel 85,000km, Bei sh milion 16, ukiinunua Unaichukua haidaiwi Haina tatizo lolote njoo...
2 Reactions
32 Replies
4K Views
Wakuu naomba kujuzwa bei ya mashine mpya ya kichina ya kukamua alizeti yenye uwezo wa tani 1-5 au zaidi kwa siku.Je bei yake ni ngapi kwa maeneo ya Arusha au Mwanza?
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Ninauza mabati yafuatayo eneo la saba saba maonyesho Dar, kwa bei tajwa, mwenye kutaka awasiliane na mimi kwa namba 0684043222
0 Reactions
14 Replies
8K Views
Kwa yeyote mwenye leseni za uchimbaji wa Madini aina ya marble ziwe na bluu au pick au nyeupe ziwe Pl au pml tuwasiliane kwa Namba 0752574545/ 0714452099 0718574545/ 0766441447 Email...
0 Reactions
0 Replies
883 Views
Wadau kwa heshima na taadhima naomba kwa mwenye kufaham mashine nzuri na yakisasa ya kukoboa mpunga naomba anipe taarif hizo hapa kwa kuzingatia yafuatayo. 1.Gharama za mashine husika 2.Ubora wa...
1 Reactions
0 Replies
954 Views
Wadau ninaekari kumi za miti ya mbao mufindi iringa nakata ekari tatu hadi tano naziuza anayehitaji tafadhali tuwasiliane
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Vehicle Diagnostics Machine For Sale Mwanza 694762 |694762
0 Reactions
0 Replies
463 Views
Vehicle Diagnostics Machine For Sale Mwanza 694762 |694762
0 Reactions
0 Replies
653 Views
Toyota Progres hii gari nimetokea kuikubali sana, lakini sijui upatikanaji wa spare parts zake ukoje na fuel consumption zake sijui ukoje .. Kwa mwenye kuijua naomba anipe darasa kidogo maana...
0 Reactions
10 Replies
4K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…