Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.

On JF:

Viatu tajwa vinatafutwa sana ningependa kama vitakuwa suede material au kama unajua duka vinapopatikana nitafurahi ukinielekeza pia viwe high top. Natanguliza shukrani
1 Reactions
11 Replies
1K Views
Salamu zenu wanajf, Naomba mwenye taarifa za kiwanja 20*20 au 20*30 maeneo yeyote ya barabara ya Bagamoyo tupeane taarifa..boko hadi bunju mpaka mabwepande. Ukitaja bei ni nzuri pia kama na...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Wadau, Kwa anayefahamu bei ya karanga kwa kg 1 iliyomenywa tayari naomba nijuzwe na soko gani naweza kuuza kama gunia 120.
0 Reactions
3 Replies
3K Views
Nauza Lumix Hiyo Gf1 InaChukua Video Kwa 1080 AVCHD. Imetumika 1 month SA. Lens Yake Ni Attached! Ina Battery Pack 2, Chager Na 64 GB Memory! Bei 550,000/= Tu Maulizo Kulialia 0712988560.
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Imetumika miezi miwili kwa matumizi binafsi. Rechargeable battery na memory card ya 32gb. Sh 750000 tu anayetaka anipm.
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Kuna kipindi nilitoa tangazo la kuhusu uchoraji wa picha, kuna mtu alinilipa pesa adavance picha yake ichorwe, mchoraji akapata tatizo, na pesa alikuwa katumia, nikakubali mim kumlipa yule ndugu...
2 Reactions
1 Replies
967 Views
Kwa mara nyingine natafuta flat used kuanzia inch 18 na kuendelea balance laki na nusu 'whatsup' 0656535646
0 Reactions
8 Replies
2K Views
Wakuu habarini popote mlipo. Ninahitaji gari moja kati ya hizi na iwe no.c au d. na iwe na hali nzuri. Toyota premio new model Toyota raum new model Vitz new model 0753255844
0 Reactions
1 Replies
2K Views
MAZIWA SAFI YASIYOCHANGANYWA NA MAJI WALA CREAM!!! Tunauza maziwa fresh na mtindi kuanzia lita tano Maziwa fresh kwa lita tano ni 10,000/-Tshs. Maziwa mtindi kwa lita tano ni 12,000/-Tshs...
0 Reactions
4 Replies
5K Views
Wadau natafuta kununua iphone6 used kwa mtu....mwenye nayo anipigie 0746058676 m npo geita
0 Reactions
3 Replies
967 Views
Nauza ACCER E3,mpyaa kabisa,ina 500gb,2gbram,processor 2.16.ina siku4 tu imetumika bei tsh 470000 call 0653779235
0 Reactions
2 Replies
1K Views
kuna viwanja kinauzwa maeneo ya mbezi Luis DAR Cha kwanza ni 30*30 milioni 22 kimepimwa na kina ati miliki Cha pili ni 25*30 milioni 17 kimepimwa na kina ati miliki Cha tatu ni 20*22 milioni 7...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Mawasiliano ni Watsapp,sms,kupiga (+255) 0752464548
1 Reactions
4 Replies
5K Views
Nauza Hiyo Note II Kwa 450,000/= Tu. Specification; Internal Memory 16GB Camera 8MP RAM 2GB Kama Unaitaka Nipigie 0712988560.
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Habari Wadau. Kwa wenye ufaham naomba mnisaidie hivi Ni duka gani hapa Tanzania naweza pata Lenovo ThinkPad L440??
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Natafuta motherboard ya Toshiba satellite C55
0 Reactions
0 Replies
578 Views
Wale wanawajua kamongo kutoka singida kazi kwenu sasa nawaleta dar kila tar kumi kwa ordar tu Kama unahitaji nipigie au sms no 0755250190 naondoka jumanne kuwafuata ukipiga nitakuambia bei
0 Reactions
6 Replies
6K Views
15acres of agriculture land is for sale at Mkuranga district. The agriculture land with 15acres is for sale in coast region at mkuranga district near by Bigwa village. It is 45minutes drive from...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Nahitaji Mafriji Naomba kujuzwa jinsi ya kupata mafriji ya cocacola na Pepsi Shukrani
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Kwa yeyote anayeweza kunipatia Toyota Rav 4 ya kununua nitashukuru
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Back
Top Bottom